Kijamaa ni fala kweli πππ Eti ananiulizia kuhusu kuangalia video kwenye eneo ambalo mimi naliona kila mara nikitaka kulitembelea πππ. Kwanza barabara nzima kutoka airport hadi town imezungukwa na viwanda, show rooms, malls n.k ukijifanya Unaijua Dar unanichekesha sana π€£π€£. barabara hiyo inatoka kuwa 4 basic lanes to 6 lanes. Ukiongeza na service roads kila upande unapata ngapi hapo.? π€£π€£. BRT inaongeza upana wa barabara na hadhi ya barabara ambayo kunyans mmekua mkiota everyday ..
Kuhusu distance iko hivi:-
. Distance from Dar airport -CBD ni 11 km (hii stretch yote ni viwanda, malls, show rooms n.k ) kuna flyovers,1
View attachment 29382882
View attachment 2938289 kutakua na footbridges, kuna tunnel for SGR
View attachment 2938290, kuna viaduct
View attachment 2938291 in short kwenye barabara hii kuna kila aina ya kivuko mzee πππ sio tu foot bridges
Mzee chuki zitakuua, sisi sio nyinyi mbwa wewe