Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tomorrow’s daily dose will have a bonus..🤣🤣
IMG_2485.jpeg
IMG_2614.jpeg
 
Floods are a catastrophe just like drought. Hua munacheka wakenya tukipokea msaada lakini nyinyi hamtaki tuwacheke. 😂 😂 😂 Bongolalas are hypocrites. Leo mumepokea chakula cha msaada ju serikali yenu imeshindwa kulisha watoto wa shule huko Dodoma. 😂😂😂 Watoto hawawezi kufaa njaa eti ju munataka kufunika aibu.
😂😂😂😂😂 Ona hii nguruwe pori inaazungumza nini.
Ukame unaweza kuepukwa tofauti na mafuriko.
Ninyi kwa mnavyojinasibu kuwa mna uchumi mkubwa tulitarajia mta recruit teknolojia ya kilimo cha jangwa kama walivyofanya Misri.
Matokeo hamkufanya.
Misri wameepukana na ukame kwa kuchimba visima vireefuuu na kuweka akiba kubwa ya maji na kwa kuanzisha kilimo cha jangwani.
Je mafuriko unaweza yaepukajee??
Je ni mara kwanza Kenya kuwa na ukame??
Nchi zinazojinasibu kuwa na uchumi mkubwa hufanya nini kuhusu tatizo kama lenu??
We matako kweli kweli.
 
😂😂😂😂😂 Ona hii nguruwe pori inaazungumza nini.
Ukame unaweza kuepukwa tofauti na mafuriko.
Ninyi kwa mnavyojinasibu kuwa mna uchumi mkubwa tulitarajia mta recruit teknolojia ya kilimo cha jangwa kama walivyofanya Misri.
Matokeo hamkufanya.
Misri wameepukana na ukame kwa kuchimba visima vireefuuu na kuweka akiba kubwa ya maji na kwa kuanzisha kilimo cha jangwani.
Je mafuriko unaweza yaepukajee??
Je ni mara kwanza Kenya kuwa na ukame??
Nchi zinazojinasibu kuwa na uchumi mkubwa hufanya nini kuhusu tatizo kama lenu??
We matako kweli kweli.
Hii hasira yote ni ju ya hii. 😂 😂 👇 👇 👇 Zoea hizo gunia tafadhali.

Image
 
Seriously majirani wenzetu , you want the world to see Mkapa stadium ‘s surroundings like this as they land for AFCON?…. Did you know Talanta stadium is precisely located along the Ngong flight path to JKIA?… this means the view will be spectacular, unlike Dar the path to JKIA will resemble a modern metropolis.. CAF will have it easy making the “decision “… 🤣🤣🤣
IMG_2615.jpeg
IMG_2616.jpeg
IMG_2617.jpeg
IMG_2618.jpeg
 
So why are you posting something that you don’t believe. You mean you believe the half of it😂
Alafu ni wapi imeandikwa ranking? It’s just a list in no particular order. Always scoring own goals
The Citizen ni ya Wakunya ndio maana mda wote lazima watafute content za Tzn vs Kunyaland
 
Back
Top Bottom