Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Haha hii sasa ata kilimani haiezi
Mbona unapiga kelele sana.
Hiyo nimekuonesha part of Kariakoo.
Hapa sijakuonesha China Plaza ujue 15fl
AF1QipNbF66EUBaZvk1S9NKsrOvwGOWKyU6fB29B309m=s1600-w400




CHINA PLAZA | First Gadget Shopping Mall in Dar Es Salaam -Tanzania
 
Apo wameandika za kariakoo kama kariakoo
Ila alichomanisha ni lumumba + kariakoo + mnazimoja + samora + jangwani+ ilala boma
ongezea na upanga, kijitombanga, masake, tandale.... ni dar is slum nzima.
asante kwa kusema ukweli kaka.
 
ongezea na upanga, kijitombanga, masake, tandale.... ni dar is slum nzima.
asante kwa kusema ukweli kaka.
Hahaha sawa kibera boy. ...utaishia tu ku post picha Za cbd ila huna ubavu wakuishi kwenye nyumba
 
Back
Top Bottom