Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wow kumbe umepungua video mm nikajua hutoifungua umeona sinza ilivokua modern kila Kona kuna lami ya viwango, maduka ya kisasa mall za kisasa, magorofa ya kisasa, night clubs za kisasa, residential areas za kisasa kabisa, barabara zote clean hakuna kopo wala uchafu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣


Na bado inajengeka kila Kona sinza na ukumbuke sinza iko over 12km from CBD
Unajua pia 12km from CBD in dar is a slum unaweza jipata katikati ya ocean bila kitu. 😂 😂 😂 Au unasahau CBD yenu iko next to the Ocean.
 
Unajua pia 12km from CBD in dar is a slum unaweza jipata katikati ya ocean bila kitu. 😂 😂 😂 Au unasahau CBD yenu iko next to the Ocean.
Chunguza modern cities asilimia 90 ziko kando ya bahari 😂😂😂😂😂

Do some research alaf uje nikufundishe kitu
 
Chunguza modern cities asilimia 90 ziko kando ya bahari 😂😂😂😂😂

Do some research alaf uje nikufundishe kitu
How does that change the fact that 12km from dar is a slum cbd unaweza jipata katikati ya maji bila kitu. 😂 😂 😂
 
walilogwa hawa....*rogwa...lol
Watu waliorogwa Wana team mbili quarter final CAF champion ww huogopi?,😂😂😂
Screenshots_2024-03-04-10-45-58.png
 
Huku BRT na huku Electric SGR huku Hydro Power sasa inakuja 👇 👇 👇 👇

DAR ES SALAAM METROPOLITAN DEVELOPMENT PROJECT – PHASE 2
World Bank Sh1 trillion financing to transform Dar road network.


DMDP Phase 1 imeifanya Sinza iwalize wakenya.

Sasa DMDP 2 itawafanya wafe.
 
DMDP 2 Inakuja na mambo yafuatayo:-

1. 250-kilometre stretch of road infrastructure to tarmac standards

2. Modern waste disposal facilities

3. State-of-the-art marketplaces

4. Canals

4. Nine bus terminals.

Wakenya wataendelea kuwa washamba.🤣🤣🤣🤣
 
Kwenye maisha yangu sijawah kuskia slum tourism 😂😂😂😂 alooo

Yani mzungu anafunga safari badala kushangaa Simba porini anakuja kushangaa mafuvu yanavoungua na Moto wa duniani🙌🙌


View: https://twitter.com/KResearcher/status/598942999586934785?t=sKPy3DcVzWD9DZhJiRLtMA&s=19

😂😂😂

Kama unasikiaga umaskini na hujui una maanisha nini tembelea slum za Kenya. Na hizo Nyumba unakututa moja zinakaa familia 3
 
Back
Top Bottom