Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi



Tarehe 19 Februari 2024 jijini London ulifanyika uzinduzi wa 'Documentary Film' iitwayo "Footsteps: Journey to the Engare Sero footprints" inayohusu Nyayo za binadamu zenye umri wa miaka 20,000 zilizopo katika eneo la Ngare Sero katika Wilaya ya Ngorongoro Kata ya Malambo Mkoani Arusha. Nyayo hizo zilitokana na binadamu waliokuwa wakikimbia kufuatia mlipuko wa volcano katika Mlima wa Oldonyo Lengai. Filamu hiyo imeandaliwa na Mtengenezaji filamu mkongwe (Film Director) Ndugu Ndugu Leander Ward- ambaye anafahamika katika tasnia ya filamu kupitia filamu ya The Crimson Wing: Mystery of the Flamingos (2008), Wild Side (1995) and Prince Valiant (1997).
 
1708520948363.png
 
I posted my bank balance jana ilikuwa Tsh 52 Millions, ukapita chini ya maji.
Show me your bank balance.
Tangu nikuonyeshe my 2 months bank and M-PESA transactions unateseka sana.

Ebu post tena hiyo bank balance Yako nione, it seems sikuiona Jana since I was busy frying oxygen depleting machine Sama boy 255
 
Huna pesa wewe. Na tena wewe bado umri wako mdogo sana. So subiri ukiwa mkubwa may be utapata pesa
Mimi sina pesa, sina gari. Na pia sina hata bank account. Kwanza hata M-Pesa account sina🤣🤣😂.

And yes I'm young, 27yrs ulikuwa unafanya nini?
IMG_20240221_160156_735.jpg
 
So leo mtu wa kupewa lift anaongea? Ebu tuonyeshe log book ya gari😂😂
Those words to be given a lift ni maneno yako ya kutunga. But the truth is that you don't have a car.
Mzee usifanye tufanane. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tafuta maisha dogo acha kuigiza.
 
Mimi sina pesa, sina gari. Na pia sina hata bank account. Kwanza hata M-Pesa account sina🤣🤣😂.

And yes I'm young, 27yrs ulikuwa unafanya nini?
View attachment 2911123
Mzee sisi tunaendesha gari za kupanda 🤣🤣🤣Siyo hizo za kuingia kwenye gari. Tafuta pesa dogo.
27yrs wewe bado dogo sana. Kwahiyo acha kuvimba unaweza kuwa mtoto wangu.
 
Those words to be given a lift ni maneno yako ya kutunga. But the truth is that you don't have a car.
Mzee usifanye tufanane. 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 Tafuta maisha dogo acha kuigiza.
Ulpewa lift jana. Hata baiskeli ndio huna. I dare you to post a log book ya gari kama uko nayo.
 
Mzee sisi tunaendesha gari za kupanda 🤣🤣🤣Siyo hizo za kuingia kwenye gari. Tafuta pesa dogo.
27yrs wewe bado dogo sana. Kwahiyo acha kuvimba unaweza kuwa mtoto wangu.
Unaendesha gari ama uliomba lift ukabebwa. Show me the log book.
 
Ukipewa lift jana. Hata baiskeli ndio huna. I dare you to post a log book ya gari kama uko nayo.
Hayo maneno ya kupewa lift ni ya kwako. As long as umesema huna car Case closed. Siku ukipata Car tutakuonesha magari yetu na Cards zake. Kwa sasa chill tu upungwe upepo. 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Hayo maneno ya kupewa lift ni ya kwako. As long as umesema huna car Case closed. Siku ukipata Car tutakuonesha magari yetu na Cards zake. Kwa sasa chill tu upungwe upepo. 🤣 🤣 🤣 🤣
Wapi log book? Bila logbook then automatically shows ulipewa lift na pastor wa Catholic.
 
Mzee sisi hatutumii Log Book hapa Tanzania. Tulishahama huko miaka ya zamani sana.
Hapa TZ we use digital driving License. 🤣🤣🤣 Unataka uione?
Mayoo🤣🤣🤣😂😂.

Yani unasema uko na gari lakini hujui logbook ni nini?🤣🤣😂😂😂


Logbook and driving license are two different things. Now I'm 1000000% sure huna gari.😂😂
 
Back
Top Bottom