Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hivi nikuulize ujenzi wa skyscraper unachukua miaka mingapi? the tallest building in the world in Dubai was built in 3 years...
Ukiweka miaka mitatu ni sawa ambapo itaisha 2020 kama kila kitu kitaua costant
 
jifurahisheni na ngoma mpya Sauti Sol...Kiingereza ikiwashinda njooni niwafanyie tafsiri😀😀

Kawimbo kamoja tu mnapiga kelele. Hapa TZ nyimbo mpya zipo zaidi ya 100
Anzia hapa:




 
waliosema The Pinnacle imekufa...hizi hapa concrete mixers zimewekwa majuzi tayari kuanza foundation..poleni...kilichonishangaza nilipopita hapa ni kuwa hizi concrete mixers ni ndefu hata kuliko majengo ya karibu...CC: ichoboy01 kadoda11
29992142902_42d9b8dbcb_o.jpg

37904984694_a3d703f0fb_b.jpg
38622653291_71280f5eb1_b.jpg
38565950006_623f4c46da_b.jpg
Wow i love render bro😀😀
 
Kawimbo kamoja tu mnapiga kelele. Hapa TZ nyimbo mpya zipo zaidi ya 100
Anzia hapa:





nilikwambia nyimbo za kijinga huwa siskizi...leta za yule dada wenu anayejua kuimba kwa kiingereza...hio mambo ya sijui kaka blaza nakupenda sijui mwambie aje... huwa siskii
 
hivi nikuulize ujenzi wa skyscraper unachukua miaka mingapi? the tallest building in the world in Dubai was built in 3 years...britam Tower is Africa's second tallest and it was buoit in 3 years
Eti britam tower is Africas second tallest sijui hadi ule mnara nao ni floor
 
bila shaka nitakuarifu ndugu yangu...mimi nashangaa sana mlivyogeuka kama kinyonga...one week ago mlikuwa mkisema Pinnacle ni white elephant...leo mnaongelea 5th floor...
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
Kwa sasa endelea kutuonesha render ya pinnacle plz bro😀😀😀😀
 
nilikwambia nyimbo za kijinga huwa siskizi...leta za yule dada wenu anayejua kuimba kwa kiingereza...hio mambo ya sijui kaka blaza nakupenda sijui mwambie aje... huwa siskii
povu kubwa sana.
 
hivi nikuulize ujenzi wa skyscraper unachukua miaka mingapi? the tallest building in the world in Dubai was built in 3 years...britam Tower is Africa's second tallest and it was buoit in 3 years
Tatizo sio kujenga tatizo pesa za kujengea zikwapi😀😱😀😀 dubai is not kenya, tajiri mmoja wa dubai anaeza walisha kenya nzima miaka 10 mfululizo bila kufanya kazi
 
Back
Top Bottom