Teargas
JF-Expert Member
- Mar 28, 2021
- 21,849
- 24,773
Between you and world Bank who knows better?Chukua hiyo 200ksh ufanyie matumizi huko kenya,baada ya hapo uje Tz ukifika change hiyo 200ksh into Tz sh, hela utakayopata tumia hiyo hiyo kufanyia matumizi yale yale uliyofanya ukiwa huko Kenya na 200ksh