kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
mlivyokuwa mnapiga kelele tulidhani mpo flo ya nne..ujnzi ndio unaanza rasmi....walikuwa bado wanachimba foundation poleni sana mabro

mlivyokuwa mnapiga kelele tulidhani mpo flo ya nne..ujnzi ndio unaanza rasmi....walikuwa bado wanachimba foundation poleni sana mabro

Nna plot yngu Moshi naweza piga mkwara nikapeleka tofali 1k pale alafu nikapotea mwaka mzima ,Ila waliobaki watasema jamaa ataanza ujenzi mapema anaonekana kajipangaPwahahaha mlilia lia kuwa hakuna ujenzi utakaofanywa...hivi leo mmegeuka kama chameleon mnaongelea first floor...asante kwa povu ndugu
pole kwa povu...mlivyokuwa mnapiga kelele tulidhani mpo flo ya nne..![]()
![]()
![]()
![]()
Ukianza ujenzi tafadhali ututaarifu siyo kutuletea mitungi hiyo. Hapa Dar kila sehemu ipo hiyo mitungi. Mkifikisha 5f sisi tunaanza kujengo la 100fujnzi ndio unaanza rasmi....walikuwa bado wanachimba foundation
poleni sana mabro![]()
Nna plot yngu Moshi naweza piga mkwara nikapeleka tofali 1k pale alafu nikapotea mwaka mzima ,Ila waliobaki watasema jamaa ataanza ujenzi mapema anaonekana kajipanga
Ukianza ujenzi tafadhali ututaarifu siyo kutuletea mitungi hiyo. Hapa Dar kila sehemu ipo hiyo mitungi. Mkifikisha 5f sisi tunaanza kujengo la 100f

![]()
![]()
unafananisha kampuni ya Hilton inayofanya ujenzi na wewe binafsi?![]()
![]()
punguza ujinga bro![]()





bila shaka nitakuarifu ndugu yangu...mimi nashangaa sana mlivyogeuka kama kinyonga...one week ago mlikuwa mkisema Pinnacle ni white elephant...leo mnaongelea 5th floor...Ukianza ujenzi tafadhali ututaarifu siyo kutuletea mitungi hiyo. Hapa Dar kila sehemu ipo hiyo mitungi. Mkifikisha 5f sisi tunaanza kujengo la 100f
povu...endeleeni kuchimba mafuta hapo Nairobi.mlikuwa mkipinga eti tunachimba mafuta Nairobi.

Nna plot yngu Moshi naweza piga mkwara nikapeleka tofali 1k pale alafu nikapotea mwaka mzima ,Ila waliobaki watasema jamaa ataanza ujenzi mapema anaonekana kajipanga

asante kwa wivu bropovu...endeleeni kuchimba mafuta hapo Nairobi.![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
sasa Dar ni coastal city na Nairobi ni inland city, ulitegemea Nairobi iwe na kisiwa kivipi


hapo sawa ila wakenya kwa kujitetea ila mpo good! Keep it up guysSisi tunaongelea projects hizi hapa dogo:it is now a reality....wenye wivu wajinyonge...one week ago walikuwa wakisema Pinnacle ni white elephant...leo wanaongelea 5th floor...hizi hapa renders😀😀😀😀😀![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, on Flickr
Images from the Peace Ark Ship in Dar es salaam by indaressalaam, on Flickrkijiji cha iringaMmeishiwa sasa mnaanza kutuletea vijiji. Sasa hako ka kijiji tutakapeleka wapi. Basi ngoja tulinganishe na kijiji cha nangurukuru