Mchele wa Mbeya kiafya ni mchele bora kuliko BASMAT NA VIP MNAOKULA KWASABABU ZIFUATAZO KAMA UMESOMEA FOOD SCIENCE:rice ugali mbeya cheap grade 5 rice
1)Basmat hukaa muda mrefu kiasi na kuwekwa dawa ili ukae muda mrefu ilhali mchele wa mbeya hauekwi madawa ya ku preserve hivyo huui oryzenin nutrients zilizokua mule.
2)Mchele mzuri ambao unameng'enywa hata kiurahisi ni ule mlaini sio mgumu kama plastiki.
3)Mchele wa Mbeya una ladha ya asili kutokana na kutokuwa na madawa pia hata uupike kikawaida unapikika sio kama BASMAT MPAKA UTIE VIUNGO VINGI NDIO UPATE LADHA.
4)Mchele wa Mbeya unaweza ukaupika kwa mtindo tofauti ila wa Basmat kuna mtindo huwezi ukaupika mathalan pishi la NAZI HUWEZI UKAPIKA WALI WA NAZI WA BASMAT AU VIP.'JAPO SIDHANI KAMA KENYA PISHI LA NAZI MNALIJUA'
MKENYA TOKA LINI UKAJUA KULA VIZURI???
NENDENI ZANZIBAR kwa wanaojua kula vizuri BASMAT BEI RAHISI MCHELE WA MBEYA BEI YA JUU JIULIZE KWANINI??