Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mbweni is 30km from CBD
Juja is 30km from the cbd
DJI_0997.jpg
 
Wakenya ni weupe sana kwenye military weapon.
unamletea assault rifle yeye analeta battle rifle.
Hajui hata tofauti yake.
Unamletea Mzinga yeye analeta Kifaru 🤣 🤣 🤣 🤣 Hawa jamaa wana akili kweli?
Tumeweka kifaru cha Type 96 tank wamekimbia kwenda kujificha.

Yaani unaingia kwenye operation ya Waste Gate unaingia na FN SCAR? kweli?
Hisi hapa tofauti zake mjifunze sasa:

While the assault rifle uses large magazines with smaller bullets to try and take out as many enemies as possible before dying, the battle rifle has smaller mags with larger bullets, only trying to win one fight at a time.
 
Hiyo slaha inapambana na AK 47 tu. Huwezi ukailinganisha na vitu vya watu wazito. 🤣 🤣
you look at such pedestal reasoning and wonder what idiots we are dealing with...Bei ya FN Scar can build a 5 bedroomed house in tanganyika
 
Back
Top Bottom