Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

KDF owns 3-27 J Spartans. Jeshi ya bongolala owns no aircraft that can move any heavy cargo or many personnel at a war zone.

KDF airlifts South Sudan troops to Goma for peace mission
Sometimes akili za wakenya ni za ovyo, eti Hatuna? Nchi ambayo imepigana vita, ikahamia kwa missions na zote zikatiki, ikose ndege?

Na kwa taarifa yenu tumeagiza nyingine, mafala wakubwa na mitumba yenu.
 
Umeishiwa Military weapons? Halafu hiyo wala siyo serikali ni Chama cha siasa kama vile Diamond mlivyomkaribisha kwenye campaign. 🤣 🤣 🤣
Leta Weapons hapa tuzichambue
Diamond mwenyewe is also borrowing helicopters from Kenya to use Tanzania 😂😂🤣
 
There's nothing new here. Mlishika village elders mkadhani mmeshika polisi wa Kenya😂😂🤣😂.

What can you say about this act where our police officers crossed into Tanzania and canned you thoroughly?


View: https://youtu.be/DjuZQcPwPSI?si=eHrCr8uzATZ072fu

Yaani leo kila unapogusa ni moto unaona tu.

 
KDF owns 3-27 J Spartans. Jeshi ya bongolala owns no aircraft that can move any heavy cargo or many personnel at a war zone.

KDF airlifts South Sudan troops to Goma for peace mission
Hivi vyuma ndio vilimliza m23.
Hizo ni MLRS (Multi launch rocket system)
 

Attachments

  • IMG_20240203_235919.jpg
    IMG_20240203_235919.jpg
    56.6 KB · Views: 11
  • IMG_20240203_235857.jpg
    IMG_20240203_235857.jpg
    42.6 KB · Views: 7
  • Screenshot_2024-02-03-23-58-26-59_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    Screenshot_2024-02-03-23-58-26-59_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
    84.5 KB · Views: 6
Asa kumbe we ni fala?
Huyo Khalifah Haftar si mtu wa street battle??
Kumbe hujui vita za waarabu??
Khalifah haftar kundi lake ni kama la Hamas tu we kijana.
Unategemea wapeleke vifaa vizito?
Umeskia hao IDF?
Waaaaa kumbe huelewi kingereza. 😱😱 Wacha nikusaidie na translation.

👇👇Inasema kwamba tarehe 20 Julai, bunge la misri iliidhinisha kutumwa kwa majeshi yake nchini Libya kusaidia mshiriki wao Field Marshal Khalifa Haftar ambaye anahitaji usaidizi kujihami.


Screenshot 2024-02-03 235229.jpg
 
Sometimes akili za wakenya ni za ovyo, eti Hatuna? Nchi ambayo imepigana vita, ikahamia kwa missions na zote zikatiki, ikose ndege?

Na kwa taarifa yenu tumeagiza nyingine, mafala wakubwa na mitumba yenu.
Hamna hata moja 😂 😂 😂 Kama iko tuonyeshe, vita ikitokea sahii nikama mutatumia Air Tanzania. 😂😂😂
 
Waaaaa kumbe huelewi kingereza. 😱😱 Wacha nikusaidie na translation.

👇👇Inasema kwamba tarehe 20 Julai, bunge la misri iliidhinisha kutumwa kwa majeshi yake nchini Libya kusaidia mshiriki wao Field Marshal Khalifa Haftar ambaye anahitaji usaidizi kujihami.


View attachment 2893487
Leta Weapons acha kutubabaisha hapa. Mbona unahamisha mada. Unataka tuanze discus Toyota Hilux hapa? 🤣 🤣 🤣
 
Where will Tanzania be without Kenya? Here are Tanzanian celebrities borrowing helicopters from Kenya cause kwao people can't afford to buy helicopters 😂😂🤣.

Diamond with Kenyan helicopter.
1706994294742.png
 
Muko nyuma kama matako, vita ikitokea sahii mutatumia nini? 😂 😂 😂 Don'ty forget Kenya owns 3.
Unageuza si ulisema hatuna, sawa tuoneshe hizo tatu na risiti za kuzinunua, hatutaki kukosewa adabu na mitumba
 
Waaaaa kumbe huelewi kingereza. 😱😱 Wacha nikusaidie na translation.

👇👇Inasema kwamba tarehe 20 Julai, bunge la misri iliidhinisha kutumwa kwa majeshi yake nchini Libya kusaidia mshiriki wao Field Marshal Khalifa Haftar ambaye anahitaji usaidizi kujihami.


View attachment 2893487
Umeelewa nilichozungumza??
Khalifa Haftar hupigana vita za mitaa .
Asa unataka vita za mitaa watu watumie vifaa vizito??
 
Unageuza si ulisema hatuna, sawa tuoneshe hizo tatu na risiti za kuzinunua, hatutaki kukosewa adabu na mitumba
Sa unataka kulia ju hamna any C27 J Spartan in service. 😂 😂 😂 Una machungu hadi unadai risiti. Pole usilie. Vita ilkitokea sahii mutatumia air tanzania. 😂😂😂
 
Back
Top Bottom