Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

The biggest port in Africa after Durban
0326456ae61ff893cd1e17a9afb6209c.jpg
 
Pamoja na mengi aliyoongea Balozi wa Korea ni pamoja na kusema Daraja la Baharini from Oysterbay to Ocean Road litaanza kujengwa 2018.....!
Pia ameongelea kuhusu ku support ujenzi wa SGR.. ila sija jua kwa upande upi.
 
Watanzania nimewitness wako comfortable sana na umaskini..... .wame embrace umaskini wao kabisa .No wonder they can't dare challenge their government.......Kenya mtu anafanya juu chini kujiinua kimaisha....
Ukiona hata hapa east Africa of the total 29 million middle income earners..Kenya accounts for 47% of the total .Most of those people hawangojei serikali kuwabadilishia maisha kama Tanzania.......Kwanza apartments and estates in Kenya are owned by individuals through saccos,companies and private individuals.That's why Nairobi has uncountable estates......hawa jirani wetu bora kanyumba cha kiswahili au udongo na dagaa ugali maisha amemaliza
Kama ni kweli Kila Mkenya anajishughulisha kujiinua kimaisha, where do we get these 42% Kenyans living below poverty lines?
 
Amazing, tha biggest medical university in east and central africa😀😀😀😀😀
 
Back
Top Bottom