President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,147
- 93,565
Mambo haya yananifanya nitokwe na machozi? Kwanini binadamu wanaishi kama wanyama?Proudly produced in Kenya by Kenyans for Kenyans.
View attachment 2884705
Mambo haya yananifanya nitokwe na machozi? Kwanini binadamu wanaishi kama wanyama?Proudly produced in Kenya by Kenyans for Kenyans.
View attachment 2884705
Unaahangaika na watu wanaita wali Michele! Hawajui tofauti kati ya ubwabwa na wali na mchele na mpunga! Mtu anakwambia napika mchele au nalima mchele!Nataka nikufundishe mapishi ya mchele. Maana inavyoonekana hujui kupika
Wali wa kawaida
Wali wa kukaanga
Wali wa nazi
Wali wa manjano
Pilau wa kuku
Pilau wa nyama
Pilau wa mboga
Pilau wa maharage
Biryani ya kuku
Biryani ya nyama
Biryani ya mboga
Biryani ya maharage
Wali wa nazi na sukari
Wali wa maziwa na sukari
Wali wa zabibu na sukari
Wali wa tende na sukari
Wale majamaa wa Blue Buildings waonyeshe hiyo Victoria Tower wajue good architecture Ni nini.😂
Jaribu kutoka hapo Kibera uende kutembelea nchi zingine.Kinglong bus built in Kenya by LSHS and exported to Tanzania.View attachment 2884708
Jaribu kutoka hapo Kibera uende kutembelea nchi zingine.
CHeck video hii ili uondeo ujinga kidogo
View: https://youtu.be/eTvlfe7-2Hk?si=hFwfCryfdOYt_4o9
Kinglong bus built in Kenya by LSHS and exported to Tanzania.View attachment 2884708
Hawa hawajui architecture ni nini juu hata hizo gorofa zao zimekuwa designed Kenya😂Wale majamaa wa Blue Buildings waonyeshe hiyo Victoria Tower wajue good architecture Ni nini.😂
Ah!! wapi. Hebu tuoneshe bus stendi moja kutoka kenya tucheke 🤣 🤣 🤣Hawa hawajui architecture ni nini juu hata hizo gorofa zao zimekuwa designed Kenya😂
Siku hizi mligive up na kulinganisha hizo takataka zenu na classic buses from Kenya, what happened?😂😂😂Ah!! wapi. Hebu tuoneshe bus stendi moja kutoka kenya tucheke 🤣 🤣 🤣
Tuoneshe kwanza Bus Stand kisha twende kwenye mabasi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Are you aware that this bus alone can buy 10 of those Chinese boxes?
View attachment 2884714
Hiyo ni assembling wewe nyangau sio manufacturing.
Is this building beautiful.? 😂😂😂👇Hawa hawajui architecture ni nini juu hata hizo gorofa zao zimekuwa designed Kenya😂
Nani ame give up. Tunataka kuanzia stand. Show us Bus stands. Kisha tuendelee. Kama hakuna sema hakuna SimpleSiku hizi mligive up na kulinganisha hizo takataka zenu na classic buses from Kenya, what happened?😂😂😂
Who said we manufacture? I have been singing here the phrase "Built in Kenya by Kenyans for Kenyans" all along. Ama umekuwa ukilala?😂😂Hiyo ni assembling wewe nyangau sio manufacturing.
What do you know concerning vehicles my friend?🤣🤣🤣🤣 That's fabrication and not assembling.Hiyo ni assembling wewe nyangau sio manufacturing.
He better show us their bus stand ndio tuendelee na hiyo mada enye anataka 😂😂😂😂Tuoneshe kwanza Bus Stand kisha twende kwenye mabasi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Is there any building in Tanzania yenye ishashinda tuzo la gorofa bora Africa? Kama Iko tuonyeshe😂Is this building beautiful.? 😂😂😂👇View attachment 2884716hii gorofa inakaa Giza pyramid. 😂😂😂😂. Kenya kuna majengo marefu mazuri than Tanzania ? Heb twende ground we kima ..uone kama utatoboa hiyo battle.
Kijana Tanzania ipo na zaidi ya 1,000 Bus Companies.Who said we manufacture? I have singing here the phrase "Built in Kenya by Kenyans for Kenyans" all along. Ama imekuwa ukilala?😂😂
View attachment 2884722