Wakuu haya si masihara haya, Konza wanayoifananisha na Dom ndiyo hii, jaribu ku zoom uone 👇👇👇🤣🤣🤣🤣🤣After completing horizontal infrastructure at Konza, it's now time for Vertical Infrastructure.
View attachment 2884553
This is not the only phone I have. I also have an Apple Ipad 9th Generation. I find android more easy to use wakati nawapandisha pressure and that's why I use it in JF.Jamaa simu yako hujawahi badili tangu 2017, ni ileile ya kichina, double line na huwa haikai na chaji kabisa. Hakuna siku iko full chaji, lazima iwe haina chaji au umechomeka kwenye chaji kama hapo ilipo, simu pia ni kipimo cha hali ya maisha ya mtu.
Sasa unailaumu Ro-Ro? Laumu nchi zilizoagiza hizo gari, 90% ya hizo gari zinaenda nje.Hapo naona magari za 2000
Ushamba unakusumbua 🤣 🤣 🤣 🤣This is not the only phone I have. I also have an Apple Ipad 9th Generation. I find this one more easy to use wakati nawapandisha pressure.
View attachment 2884568
Endelea kuumia😂😂😂😂.Ushamba unakusumbua 🤣 🤣 🤣 🤣
Cry harder 😂😂😂😂I'm proud of my body complexion. But I'm not proud of your eating habit, are you aware that there's no much eating difference between your and a pig?
Niumizwe na nurse anayetumia uber kila siku 🤣 🤣 🤣Kwanza upo na mume?Endelea kuumia😂😂😂😂.
I was actually responding to watchman who thought I had only one phone. I have been silent for long hadi akazoea.
Uber ni ya wenye wako na disposable income. Do you even have an income?😂 And for your information, I don't use Uber daily. I only use it when there is a problem with my car.Niumizwe na nurse anayetumia uber kila siku 🤣 🤣 🤣Kwanza upo na mume?
Hii zig zag shanty town vipi.? 😂😂😂 No cyclists lanes, no proper pedestrians walk ways, the roads are too narrow. Hii empty green field Inakaa it was meant to be a gated community..After completing horizontal infrastructure at Konza, it's now time for Vertical Infrastructure.
View attachment 2884553
I am deeply troubled by the level of your education. You claim to know biology yet you dont even understand simple things in biologyThat's because you are poor. Dog is a carnivore and should not eat Ugali.
Tatizo lako umezoea kukaa Kibera. Maisha yako ni ya kuunga unga. Vipi Shakira Mohamed alikufukuza baada ya kuweka taarifa zake humu?Uber ni ya wenye wako na disposable income. Do you even have an income?😂 And for your information, I don't use Uber daily. I only use it when there is a problem with my car.
Hahaha youtong made in china for kenyans
Who is Shakira?Tatizo lako umezoea kukaa Kibera. Maisha yako ni ya kuunga unga. Vipi Shakira Mohamed alikufukuza baada ya kuweka taarifa zake humu?
Assembled in Kenya by LSHS.Hahaha youtong made in china for kenyans
View attachment 2884580
What simple thing? I know that a dog is a carnivore and should not eat ugali.I am deeply troubled by the level of your education. You claim to know biology yet you dont even understand simple things in biology
Sasa sasa mbona una argue kama sio msomi?
Kwahyo ikiunganishwa Kenya maana yake imetengenezwa Kenya, kuanzia lini kenya inatengeneza mabasi.? 😂😂😂😂 Eti kabisa "proudly made in Kenya" aisee we ni kiazi sanaAssembled in Kenya by LSHS.