Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nyie mmeanzisha kiwanda cha ku assemble magari kwenye nchi gani?
Hawana kiwanda cha ku assemble magari kinachoeleweka zaidi ya ujanja ujanja tu huyo AVA mwenyewe ukichunguza ana assemble kwa order maalum lakini over 99% gari zao wenyewe zinatoka either japan or dubai na hawez kubisha akibisha tu nitag😅😅
 
You are the fool here. Model is just another term for shape, it doesn't indicate the manufacturing year. I can have a car of 1830 model but manufactured in 2023.

What do they teach you in Tanzania for real?
So according to you unaweza ukawa na land cruiser LC 300 new shape ya mwaka 1990?
Model zinatolewa kwa mwaka kama hujui most often after every five years.
 
Kiwanda cha Mashine na Vipuri KMTC

Kukamilika kwa ununuzi na usimikaji wa mashine ya overheadcrane; kukamilika kwa ununuzi wa vifaa vinavyohitajika kwa ajili ya tanuru ikiwemoInduction furnace; kukamilika kwa ujenzi wa msingi na kuendelea na usimikaji wakinu cha kuyeyushia chuma (induction furnace) ambapo utekelezaji umefikia asilimia98; na kukamilika kwa ukarabati wa mfumo wa umeme kwa asilimia 99; kukamilikakwa majaribio na mafunzo ya namna ya kutumia kinu cha kuyeyushia chuma.

1706356977455.png


1706356991789.png


1706357014382.png
 
So according to you unaweza ukawa na land cruiser LC 300 new shape ya mwaka 1990?
Model zinatolewa kwa mwaka kama hujui most often after every five years.
You are just dump. An old shape can be manufactured now but a new shape can't be manufactured in past years cause imepotwa na wakati. Are you aware that a Volkswagen beetle can be manufactured this year? When it's manufactured this year then year of manufacturing will be 2024.
 
But still the model would be 1830 edition kama hujui hata edition basi I rest my case.
As long as it's manufactured within the year I wanted I won't care of edition. People can backtrack on editions and manufacture those old editions on the current market.
 
Michele ya asia huwa haishikani kweli na hata yetu pia haishikani, pia ukipika mchele wa tz afu ukaona inashikana na wewe hukutaka iwe hivyo basi ujue tu jirani kupika wali huwezi, unapika mchele kwa njia ya kupika ubwabwa afu unategemea upate wali. Jirani kuna wali na ubwabwa, wewe unaonekana unapenda sana wali ila unaweza kupika ubwabwa. Mapishi ni sayansi... Uje kwa dada zetu wakufundishe kupika. Kwanza ushawahi kuona wali wa mahindi? Au umezoea ugali tu?
Unazidi kumchanganya, Wakenya hawana hiyo misamiati, uwe mbichi, bokoboko au umepikwa wao yote wanaita mchele.
 
Back
Top Bottom