President of China
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 34,095
- 93,513
Wakenya wanaendelea kuzunguka kuomba omba sisi tunafanya investment
Stori za 1981 baada ya Tanzania kutoka kwenye vita na Uganda.wanatupigia kelele na wako kwa bottom 40 shame countries of the world.....in Kenya we just use brains not minerals.
hizo brain zisiwasaidie kutengeneza dawa za TIB? shame! shame! shame!wanatupigia kelele na wako kwa bottom 40 shame countries of the world.....in Kenya we just use brains not minerals.
Ngoja leo nawaua 🤣 🤣 🤣Venus Star walete mkuu walete tuwasagie kunguni hawa kenge.
😂😂😂😂 Bro unaonekana muhuni sana so kwa hizi pigo zako.kidole cha kati juu yako yeeah ooh yap huu mziki ni mzuri
Hawa jamaa nilianza kuwapigia salute baada ya kuanzisha mradi wa kuunda bajaji za umeme kuanzia engine mpaka bodi.NIT - Tanzania ni ya moto sana. Tunataka kuanza kutengeneza aircraft zetu sisi
Aeronautical Engineering
View attachment 2883390
- Aircrafts Maintenance Engineering
- Aeronautical Engineering
- Airframe
- Power Plant
- Avionics – Electrical
- Avionics – Instrumentation
- Avionics – Radio Communication and Navigation
- Avionics – Radar
View attachment 2883395
View attachment 2883396
wanarusha sana stim hawa mabwege inabidi uruke viunzi vya ban kwa staili hii mzee wangu haahaa😂😂😂😂 Bro unaonekana muhuni sana so kwa hizi pigo zako.
😂😂😂😂😂😂😂.The question is, aren’t you ashamed despite all this wealth, you are among the bottom poorest nations on Earth. If this was Kenya,, we would be a first world country by now… Bongo is cursed…🤣🤣🤣
so kwa sasa kwa sasa tunaweza tengeneza bajaji ya umeme from crach mkuu nlikuwa sijaipata hiiHawa jamaa nilianza kuwapigia salute baada ya kuanzisha mradi wa kuunda bajaji za umeme kuanzia engine mpaka bodi.
Mwanzo walikua wana assemble asa hivi wanaunda kila kitu.
Na wamesema 2025 wataanza kutizamia EV .
Wenzetu majirani wao wanahangaika na ruzuku ya mafuta wenzao tunatafuta nishati mbadala.
so kwa sasa kwa sasa tunaweza tengeneza bajaji ya umeme from crach mkuu nlikuwa sijaipata hii
so kwa sasa kwa sasa tunaweza tengeneza bajaji ya umeme from crach mkuu nlikuwa sijaipata hii
Sema nashindwa ku share link nenda youtube utaona video nyingi tuso kwa sasa kwa sasa tunaweza tengeneza bajaji ya umeme from crach mkuu nlikuwa sijaipata hii
sawa ngoja nikaoneSema nashindwa ku sharesawa link nenda youtube utaona video nyingi tu