ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 82,489
- 88,633
Yani hua nashindwa kuelewa elimu yao inawafundisha nn hawa kondoo 😅😅😅Si umeona hata barabara yenyewe hawezi vuka hapo mwenyekiti 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
Hapo kuna barabara moja tu, chini kuna tope na mpaka kesho mnasubiri mchina awajengee🤣🤣🤣🤣🤣🤣Unadhani kuna barabara ya vumbi kama kwenu dar is a slum. Pole sana. 😂 😂 😂
![]()
What seats? The stadium never had seats 😁Kasarani Stadium under renovation. Old roof and seats completely uninstalled
View attachment 2877937
Kwa ajili ya afcon au sio? 🤣🤣🤣🤣Kasarani Stadium under renovation. Old roof and seats completely uninstalled
View attachment 2877937
Zimeisha zinazofanya kazi. Umeanza kuleta projects? Niendelee?Another apartment coming next to GTC.
25 floors.
View attachment 2878292View attachment 2878296View attachment 2878297
Hawatoandaa afcon hata iweje, hawana uwezo huo, mpaka sasa hawana lengo lolote la kujenga uwanja, ni vile tu wameona aibu Tanzania, na uganda wamefanya ukarabati mkubwa wa viwanja vyao ndiyo nao wakaona wajibane bane wafanye hiyo jua kali renovation, hawana guts za kuandaa afcon, fainali hizi tutaandaa wenyewe.Angalau mnatupa nguvu ya hiyo 2027, maana hamueleweki kabisa.
Kama London mwanangu ❤️❤️😘😍🇹🇿🔥🔥🔥🔥🔥🔥Naona unakuja kwa kuvizia. Na huweki apartments
Tanzania 12, Kenya 5
Highland - Dar
View attachment 2878072
View attachment 2878079
View attachment 2878080
Huogopi tu? Hapo kuna VIVA Tower.Another apartment coming next to GTC.
25 floors.
View attachment 2878292View attachment 2878296View attachment 2878297
unasahau majengo huporomoka huko!Hvi elimu ya kenya hua inawasaidia nn kuvuka barabara tu au😅😅😅
View attachment 2878150