Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

nikiona umejibu hivi najua sindano imeingia vzr...nilkua nangoja unipinge kwa kutumia facts ila asante ushainua mikono...ukweli ni kuwa, mimi hapa ningekuwa naishi Dar ningekuwa sasa hivi nina nyumba kadhaa...ardhi bei rahisi kama pipi...sababu kubwa ya hili ni kuwa Dar sio mji muhimu kibiashara kama vile Nairobi (hub)...hawa wazungu wanaoleta headquarters jijini ndio wamesababisha ardhi kupanda sana...
Tanzania tunapata unafuu wa ardhi 7bu ardhi tunamiliki watz,zipo maeneo ambazo ata mjiunge wapiga kelele humu hamuwezi nunua nusu acre, huu mji ni mpana sana ndio maana watu wengi hujenga kwenye miji mipya maeneo mbali na mjini kama madale,boko,bunju tegeta to mention few,

Maeneo kama tandale,manzese ndio maeneo ambayo watu waiohamia dar zamani miaka ya 1970 walikua wakifikia kutokana na ukweli kwamba ndio maeneo ambayo watu walianzia maisha yao, mji ulivyokua unatanuka ukapimwa na maeneo mengine yakawayanakua taratibu...
Hakuna kitu kirahisi brathe na usitafute excuse Za bei ya plot kabisa,huwezi kukaa maeneo ambayo yalishaendelezwa kitambo...na usitudanganye ughali 7bu ata hapa Dar nimeshakwambi kuna hadi plot as tsh 500M tena ukute ni nusu acre! !
 
hebu rudia kauli yako unasema dar sio mji muhimu wa biashara hvi bro wewe uko serious kweli????? hvi unaujua mji wa biashara ukanda huu wa africa mashariki????😀😀😀😀😀😀 hebu tuanze hapo
nikisema hivyo namaanisha aviation and business hub...mfano, ukitaka mji muhimu kabisa Africa kwa biashara unaenda Johannesburg, ukitaka mji muhimu kabisa EA unakuja Nairobi...wacha nikupe assignment...tafta international companies zilizo Dar unilete hapa listi kisha nami nilete zile zilizo jijini Nairobi...yaani Nai inachukua 95% yote...hio 5% iliobaki mnagawana na Kigali na Kampala
 
Tanzania tunapata unafuu wa ardhi 7bu ardhi tunamiliki watz,zipo maeneo ambazo ata mjiunge wapiga kelele humu hamuwezi nunua nusu acre, huu mji ni mpana sana ndio maana watu wengi hujenga kwenye miji mipya maeneo mbali na mjini kama madale,boko,bunju tegeta to mention few,

Maeneo kama tandale,manzese ndio maeneo ambayo watu waiohamia dar zamani miaka ya 1970 walikua wakifikia kutokana na ukweli kwamba ndio maeneo ambayo watu walianzia maisha yao, mji ulivyokua unatanuka ukapimwa na maeneo mengine yakawayanakua taratibu...
Hakuna kitu kirahisi brathe na usitafute excuse Za bei ya plot kabisa,huwezi kukaa maeneo ambayo yalishaendelezwa kitambo...na usitudanganye ughali 7bu ata hapa Dar nimeshakwambi kuna hadi plot as tsh 500M tena ukute ni nusu acre! !
500 M ni pesa ngapi za Kenya?
 
ndio maana yule jamaa El matador alikwambia hata watu wa Kibera ni wamiliki wa ardhi Kisumu na maeneo mengine nchini Kenya...Nairobi tunabakisha tu kwa biashara...sio kwa kuishi ama kununua nyumba...tupo hapa kwa ajili ya kazi na masomo...tukitaka kutulia tunanunua ardhi miji mingine...mfano GDP ya Nairobi pekee inaweza ikawa kubwa hata kuliko GDP ya Tanzania nzima...hivyo huwezi uka expect ardhi iwe bei ya peremende...
dah yani katika wakenya niliokutana nao ignorant wewe mmoja wapo, kwanza unajua sababu ya umiliki ardhi tanzania na kenya kua tofaut rudi kwenye katiba kwanza, ardhi ya kenya inamilikiwa na raia na ardhi ya tanzania inamilikiwa na serekali na ukumbuke tanzania hairuhusu mgeni kumiliki ardhi tofaut na kenya so don't expect same thing😀😀😀😀😀😀 na lengo kubwa la ardhi kumilikiwa na serekali maana yake kila mmoja aweze kununu ardhi😛😛😛😛😛
 
nikisema hivyo namaanisha aviation and business hub...kama vil ukitaka mji muhimukabisa afica kwa biashaa unaenda Johannesburg, ukitaka mji muhimu kabisa EA unakuja Nairobi...wacha nikupe assignment...tafta intenational companies zilizo Dar unilete hapa listi kisha nami nilete zil zilizo jijini Nairobi...yaana Nai inachukua 95% yote...hio 5 % iliobaki mnagawana na Kigali na Kampala



PHP:
$V = "Dar es salaam";
Echo("Mwendokasi");


EXECUTION of the second phase of Dar es Salaam Bus Rapid Transit System (DART) is scheduled to start next June, thanks to the release of the 159.32 million US dollars (357bn/-) by the African Development Bank (AfDB).

AfDB disburses 360bn/- for DART second phase
 
okay hio ni bei ya ardhi toka maeneo yepi jijini Dar?
Maeneo yote ya oysterbay, masaki,Upanga, Kariakoo,baadhi yamaeneo ya mikocheni,

Bei itapanda au kupungua kulingana na eneo na uwekezaji wako ,hio ni bei ambayo nimewahi shuhudia watu wakinunua plot eneo flani kwa ajili ya kujenga apartment !!
 
dah yani katika wakenya niliokutana nao ignorant wewe mmoja wapo, kwanza unajua sababu ya umiliki ardhi tanzania na kenya kua tofaut rudi kwenye katiba kwanza, ardhi ya kenya inamilikiwa na raia na ardhi ya tanzania inamilikiwa na serekali na ukumbuke tanzania hairuhusu mgeni kumiliki ardhi tofaut na kenya so don't expect same thing😀😀😀😀😀😀 na lengo kubwa la ardhi kumilikiwa na serekali maana yake kila mmoja aweze kununu ardhi😛😛😛😛😛
nimkwambia ulete list ya international companies ndio tuanzie hapo...mbona unalenga hio story? ni kawaida mji kuwa na ardhi ya bei ghali investors wa nje wanapokuja kwa wingi ila njoo Dar hamna hata international investors...an insignificant city...ndio maana ardhi bei rahisi kama samaki
 
Na zipo maeneo bei ndogo kabisa mbali namji hadi 10M kwa plot ya 20×20
 
nimkwambia ulete list ya international companies ndio tuanzie hapo...mbona unalenga hio story? ni kawaida mji kuwa na ardhi ya bei ghali investors wa nje wanapokuja kwa wingi ila njoo Dar hamna hata international investors...an insignificant city...ndio maana ardhi bei rahisi kama samaki
Telling lies! !
 
Hahaha sasa utacompare upuzi huo na hii
69649b4cdca608838bb138bfa8f49404.jpg
Hii ni 18 lanes ukihesabu na hio underpass
 
Maeneo yote ya oysterbay, masaki,Upanga, Kariakoo,baadhi yamaeneo ya mikocheni,

Bei itapanda au kupungua kulingana na eneo na uwekezaji wako ,hio ni bei ambayo nimewahi shuhudia watu wakinunua plot eneo flani kwa ajili ya kujenga apartment !!
jijini Nairobi maeneo ya Karen Upperhill Westlands Muthaiga bei ya ardhi hio hio ni kuanzia 200M Ksh kuenda juu...mfano Pinnacle walinunua ardhi kwa bei ya 600 mil...hio ni 6million USD
 
nikisema hivyo namaanisha aviation and business hub...mfano, ukitaka mji muhimu kabisa Africa kwa biashara unaenda Johannesburg, ukitaka mji muhimu kabisa EA unakuja Nairobi...wacha nikupe assignment...tafta international companies zilizo Dar unilete hapa listi kisha nami nilete zile zilizo jijini Nairobi...yaani Nai inachukua 95% yote...hio 5% iliobaki mnagawana na Kigali na Kampala
bro ukiongolea business dar sio level yako😀😀😀😀😀😀 we zungumzia habari zote na sio business
 
nimkwambia ulete list ya international companies ndio tuanzie hapo...mbona unalenga hio story? ni kawaida mji kuwa na ardhi ya bei ghali investors wa nje wanapokuja kwa wingi ila njoo Dar hamna hata international investors...an insignificant city...ndio maana ardhi bei rahisi kama samaki
wewe endelea kuongea nonsense ila facts nimeshakupa kuelewa ni hiari yako wewe😀😀😀
 
bro ukiongolea business dar sio level yako😀😀😀😀😀😀
ndio Dar sio level ya Kampala ama Kigali...lakini Nairobi kwa biashara ni Johannesburg tu na Cairo & Lagos zimeishinda...ukanda huu hamna chochote...hata Addis bado sana kwa Nairobi ila wahabeshi wamewashinda nyie hapo Dar...
 
Back
Top Bottom