ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Asante kwa matumaini😀😀😀😀😀business measure yake ni gdp na mko level moja na mombasa
Asante kwa matumaini😀😀😀😀😀business measure yake ni gdp na mko level moja na mombasa
Kariakoo mkuu 20m x 20m ni 3bn tsh mitaa ya Livingston hapo hujaenda msimbazi mkuuMaeneo yote ya oysterbay, masaki,Upanga, Kariakoo,baadhi yamaeneo ya mikocheni,
Bei itapanda au kupungua kulingana na eneo na uwekezaji wako ,hio ni bei ambayo nimewahi shuhudia watu wakinunua plot eneo flani kwa ajili ya kujenga apartment !!
Huu wore ni uchafu mtupu
Sikia kwanza muziki mtamu toka Tanzanialol! wamekimbia?
swing states in Africa are Kenya south Africa and Nigeria
View attachment 637090
View attachment 637096 View attachment 637090
Furahia kwanza music kidogo wakati tunakuja kulipua na mabom