ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
zimefichwa shemu ndogo ndogo how wakat ni among biggest slums in the world😀😀😀😀😀No superhighways
No modern port
No world class airport
No SGR...
lakini maneno mengi na kelele kama chiriku....
wengine wanasema ati sijui Morocco square ni mall kama two rivers....
I mean these people are so hard to believe.........wanajua sisi ni majirani ambao wanaeza letea mzaha na utani na tunacheka na wao out of ujirani poa but ukienda thread kama nairaland na nchi kama Tanzania hata kitu cha kuweka mezani hamna.....watanzania tieni bidii muwache aibu ndogo ndogo.......
Mji wa Dar pia outside the cbd kariakoo upanga peninsula ni maajabu isiyoeleweka .Nairobi ina mitaa duni ila zimejificha sehemu ndogondogo ukiwa unatour Nairobi ni ngumu uone hata moja hadi upelekwe humo.....
Kwa kweli Tanzania wamejaribu kutoka usingizini ila wamechelewa kidogo...
And FYI lamu port will be launched in 2020
labda mm nikupe taarifa fupi tu
SGR tunajenga tena modern electric train and second fastest train in africa
bagamoyo port 2020 inaanza kupokea meli huku dar port iko under huge expansion and mtwara port as well
habari ya airport ndio usizungumze kabisa ujenzi wa modern airport in EA umefika over 75%
superhighways zinajengwa ineterchange zingine zihskamilika fly overs ziko kwenye ujenzi yani hakuna kitu utazungumza wewe ukakikosa tanzania😛😛😛😛😛😛😛