Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

naliamsha dude:
kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos that show private houses owned by the common citizens of dar es salaam.
8a929c9e13fe70e0c73f6e1629830194.jpg
c9055d96a220e5b17851bae24c3786c3.jpg
9e39ee14d13ef5a1a2feade88d471483.jpg
49f3325a82aee13657ff2d75390191ac.jpg
667a7b68269e9b854f085cb7f3abdfdc.jpg
253581dd0ebdfaecdf4d6908e7aabd68.jpg
0d8519a8cdf27a154174dea42f911239.jpg
c26d402bd00fcf78a6b20b7f484f2b67.jpg
2bec7ebd6bb96ff93d9c6124fe21269b.jpg
2d0149c5dcb15ffea0ac16d29c59874b.jpg
29fd0e71e82bbac7aba7b2be05a136f8.jpg
687de155b6de0475e1c45f9cefdbdde0.jpg
f77b38afac2c0c68695e16e1570bf12e.jpg
6e198680ee9de1a51ea3f68d3b75fbca.jpg
10c3977076126b05009a65377835a3bd.jpg
a0dd96e613946f5884ed5ba057bd46cf.jpg
177b8280fa2b8048e06ed54c378416d4.jpg
e71eb1f54c38f9a230e39a456a0da996.jpg
c1213005e5cab9294ffc00804f48b06f.jpg
2a98436ad2ff569a03b160191e0d0759.jpg
 
naliamsha dude:
kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos that show private houses owned by the common citizens of dar es salaam.

4754d1fa968d0ef7af8c0b34f20f7b96.jpg
83315b9911bfff3731ffab312758d295.jpg
3e0e42c9d4f4e25853bc5e14d0aae697.jpg
594aa41246c274dd2d4588874edebec6.jpg
3eac26869781ce4f2575dc08f33ad2d5.jpg
88ca2cb588a1c2f7dd431ab1faf5a12e.jpg
ab3ba2264a3c36da7505e5a1ecc9360f.jpg
8909f12fecf9af6993b3f3a1eabe64bc.jpg
0207db480abae4ae4fa50b5b183325e3.jpg
fadec02173c544ef249e99bd75afe947.jpg
3a332487eceeba26d0f5bdcef5447509.jpg
9d23ad575dab0a26002b9c3bfce0f517.jpg
df611473ed417b9ae5c22a894c2e6e7e.jpg
a76736bb47eedcad887a2b42b083b1b0.jpg
9b945bac856f22a56621168e44b84c7d.jpg
 
pumbav...ushakuwa nabii sasa...tulia kwanza marais waje kisha upanue huo mdomo wako unaonuka choo...
Over 100,000 people among them 20 heads of states are expected to attend the inauguration.
Hivi nikumbushe, sio wewe uliyesema kwamba pambavu alianza kuwa baba yako pale alipodanganywa na mama yako kwamba mimba ni yake wakati wewe ni mtoto wa baba mwengine(Ujumbe; acha kutukana bila sababu za msingi).

Hiyo nchi yenu inajulikana kwa kupenda kusema mambo yasiyokuwa ya ukweli bila ushahidi ila kujipatia sifa za kijinga, kama ni kweli angetaja majina ya hizo nchi zilizothibitisha kuja, kwanini anataja idadi bila majina kama kweli hizo nchi zimeshathibitisha?, kwani kuna usiri gani?, ila tunawajua wakenya mlivyo kwa kupenda sifa, hatuwashangai.
 
naliamsha dude:
kutokana na uhaba wa ardhi,wakazi wengi wa nairobi hawamiliki nyumba zao binafsi.

asilimia kubwa ni wapangaji walio-rent nyumba zinazomilikiwa na kikundi kidogo cha wakenya toka kabila la kikuyu.

that being said,i present to you a sample of random photos that show private houses owned by the common citizens of dar es salaam.
f012f5f1ce96a56aef84788675a2cf38.jpg
d11d8bd0b0fcbc7880f02cebcb284230.jpg
a03602ee8caddeb5bb177404ce93d088.jpg
36005ada62d0ba182f27d08e2712da77.jpg
7d0b81cdcf3d6e3298c6bc74d61618f0.jpg
675a7ed6e7881967d9e332766bb02a60.jpg
b729dcf71cd86833ed09000c15d68c8d.jpg
15eebab6ca97eeb138e2e7b621a5be5d.jpg
2a452241c6f580b29257afa905f87942.jpg
3f6083a5d717838c17ad2122b3d84bee.jpg
4939af976f0ce3f3c1d46407d77c029d.jpg
384816c3c521902c226ae6da88bf2596.jpg
06cb9b64383e00591bfcb2ebae89f2f1.jpg
de70cebd80dff310d410f4aef7810798.jpg
e45bd6d544865714d9634e5c0da5c65a.jpg
77538f4279eeae92c8e962057369b930.jpg
42eb4bfd4d303fa9478b3e7697f4f1b0.jpg
 
Hivi nikumbushe, sio wewe uliyesema kwamba pambavu alianza kuwa baba yako pale alipodanganywa na mama yako kwamba mimba ni yake wakati wewe ni mtoto wa baba mwengine(Ujumbe; acha kutukana bila sababu za msingi).

Hiyo nchi yenu inajulikana kwa kupenda kusema mambo yasiyokuwa ya ukweli bila ushahidi ila kujipatia sifa za kijinga, kama ni kweli angetaja majina ya hizo nchi zilizothibitisha kuja, kwanini anataja idadi bila majina kama kweli hizo nchi zimeshathibitisha?, kwani kuna usiri gani?, ila tunawajua wakenya mlivyo kwa kupenda sifa, hatuwashangai.
la nadhani unazungumzia babako na mamako...😀😀
 
ukiachia magorofa ya wakikuyu wachache,leta nyumba zenu binafsi mnazomiliki hapo hapo nairobi.
watu wanamiliki manyumba county zilizopakana na Nairobi haswa kwa sababu ya bei ya ardhi...kule Tatu city mashamba yamenunuliwa sana na pia Athi River ukielekea Mombasa na kule Kajiado County, Ongata Rongai...Nairobi ina ardhi ya bei ghali sana kwa sababu ni jiji lenye umuhimu kabisa ukanda huu...all international companies are coming here to set up headquarters...kwa hivyo huwezi ukafananisha bei ya ardhi Nairobi na bei ya ardhi Dar...Nairobi kwa umuhimu wa biashara na aviation inakaribia Johannesburg na Cairo...kaulize bei ya ardhi ktk miji hii kisha uje uniambie...
mfano, wakenya wangekuwa wanaishi Dar basi kila mtu angekuwa na ardhi yake hata watu maskini kabisa....ardhi Dar ni bei rahisi sana mbona mtu akose nyumba?...maajabu ni kumwambia mtanzania aje anunue ardhi Nairobi...he cannot afford even a quarter of an acre...Da is an insignificant city...Thats why land is cheap...ila njoo kwa zile zinafahamika kama (regional hubs) Cairo, Nairobi, Casablanca, Johannesburg na kadhalika ujionee mazingaombwe
 
watu wanamiliki manyumba county zilizopakana na Nairobi haswa kwa sababu ya bei ya ardhi...kule Tatu city mashamba yamenunuliwa sana na pia Athi River ukielekea Mombasa na kule Kajiado County, Ongata Rongai...Nairobi ina ardhi ya bei ghali sana kwa sababu ni jiji lenye umuhimu kabisa ukanda huu...all international companies are coming here to set up headquarters...kwa hivyo huwezi ukafananisha bei ya ardhi Nairobi na bei ya ardhi Dar...Nairobi kwa umuhimu wa biashara na aviation inakaribia Johannesburg na Cairo...kaulize bei ya ardhi ktk miji hii kisha uje uniambie...
mfano, wakenya wangekuwa wanaishi Dar basi kila mtu angekuwa na ardhi yake hata watu maskini kabisa....ardhi Dar ni bei rahisi sana mbona mtu akose nyumba?...maajabu ni kumwambia mtanzania aje anunue ardhi Nairobi...he cannot afford even a quarter of an acre...Da is an insignificant city...Thats why land is cheap...ila kuja Cairo, Nairobi, Casablanca, Johannesburg na kadhalika ujionee mazingaombwe
nonsense ever😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 cha kuskitisha ardhi ya nairobi inamilikiwa na investors, politicians na wale wafanyabiashara wakubwa ila waliobakia wote kwangu pakavu tia mchuzi
 
nonsense ever😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
nikiona umejibu hivi najua sindano imeingia vzr...nilkua nangoja unipinge kwa kutumia facts ila asante ushainua mikono...ukweli ni kuwa, mimi hapa ningekuwa naishi Dar ningekuwa sasa hivi nina nyumba kadhaa...ardhi bei rahisi kama pipi...sababu kubwa ya hili ni kuwa Dar sio mji muhimu kibiashara kama vile Nairobi (hub)...hawa wazungu wanaoleta headquarters jijini ndio wamesababisha ardhi kupanda sana...
 
nikiona umejibu hivi najua sindano imeingia vzr...nilkua nangoja unipinge kwa kutumia facts ila asante ushainua mikono...ukweli ni kuwa, mimi hapa ningekuwa naishi Dar ningekuwa sasa hivi nina nyumba kadhaa...ardhi bei rahisi kama pipi...sababu kubwa ya hili ni kuwa Dar sio mji muhimu kibiashara kama vile Nairobi (hub)...hawa wazungu wanaoleta headquarters jijini ndio wamesababisha ardhi kupanda sana...
nonsense ever😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 cha kuskitisha ardhi ya nairobi inamilikiwa na investors, politicians na wale wafanyabiashara wakubwa ila waliobakia wote kwangu pakavu tia mchuzi
 
nonsense ever😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 cha kuskitisha ardhi ya nairobi inamilikiwa na investors, politicians na wale wafanyabiashara wakubwa ila waliobakia wote kwangu pakavu tia mchuzi
ndio maana yule jamaa El matador alikwambia hata watu wa Kibera ni wamiliki wa ardhi Kisumu na maeneo mengine nchini Kenya...Nairobi tunabakisha tu kwa biashara...sio kwa kuishi ama kununua nyumba...tupo hapa kwa ajili ya kazi na masomo...tukitaka kutulia tunanunua ardhi miji mingine...mfano GDP ya Nairobi pekee inaweza ikawa kubwa hata kuliko GDP ya Tanzania nzima...hivyo huwezi uka expect ardhi iwe bei ya peremende...
 
nikiona umejibu hivi najua sindano imeingia vzr...nilkua nangoja unipinge kwa kutumia facts ila asante ushainua mikono...ukweli ni kuwa, mimi hapa ningekuwa naishi Dar ningekuwa sasa hivi nina nyumba kadhaa...ardhi bei rahisi kama pipi...sababu kubwa ya hili ni kuwa Dar sio mji muhimu kibiashara kama vile Nairobi (hub)...hawa wazungu wanaoleta headquarters jijini ndio wamesababisha ardhi kupanda sana...
hebu rudia kauli yako unasema dar sio mji muhimu wa biashara hvi bro wewe uko serious kweli????? hvi unaujua mji wa biashara ukanda huu wa africa mashariki????😀😀😀😀😀😀 hebu tuanze hapo
 
Back
Top Bottom