Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya tunawatuliza kama tunavyotaka sisi

1705416948623.png
 
To be precise they have 33 frequencies per week. Hii ni wastani wa karibia flights 5 per day nchi gani nyingine wanaweza kupata ruhusa kama hiyo sisi tunawastahi tuu hawa wakora ila hawajiongezi.
This route is the most profitable kwa KQ na kama sikosei inachangia zaidi ya 40% kwenye income ya KQ.
Hata kwenye statistics za Utalii wao , Watanzania ni top 5
 
To be precise they have 33 frequencies per week. Hii ni wastani wa karibia flights 5 per day nchi gani nyingine wanaweza kupata ruhusa kama hiyo sisi tunawastahi tuu hawa wakora ila hawajiongezi.
This route is the most profitable kwa KQ na kama sikosei inachangia zaidi ya 40% kwenye income ya KQ.
Ndio nilikuwa namwambia huyu Mkora!

View: https://x.com/KipepeComrade/status/1747069466536513792?s=20


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1747182954307039486?s=20
 
Back
Top Bottom