Geza Ulole
Platinum Member
- Oct 31, 2009
- 72,901
- 103,770
Hata muonekano wa wakenya wa humu ni kama Gachagua na Ruto 🤣🤣🤣🤣🤣🤣Ule muonekane wa gachagua na ruto kwa Tanzania ni wa kutafuta sana tena sana,ila ukienda uganda na sudan kusini sura na rangi zile ni za kumwaga,huko ndio kwa ndugu zao wakunyanduanastan huku kwetu wanafosi tu
Tatizo mnandana kisa ugali na njaa hayo ni matumizi mabaya sana ya hakiAt least we know picketing is a right. Wewe jaribu kuandamana hapo uswazini uone kitakachokukuta
hizi lugha za ubaguzi zinatoka wapi tena? Usukumagang unarudi tena?Ule muonekane wa gachagua na ruto kwa Tanzania ni wa kutafuta sana tena sana,ila ukienda uganda na sudan kusini sura na rangi zile ni za kumwaga,huko ndio kwa ndugu zao wakunyanduanastan huku kwetu wanafosi tu
Sisi inatuhusu nn? Kila siku tulikuwa tunawaambia nchi yenu inaitegemea Tanzania kwa over 70% ya GDP yake mkawa mnabisha, mlikuwa mnafanya export kubwa kutokana na mali za Tz, leo Tanzania imeanza ku export mali zake yenyewe pasipo kushirikisha wakala (Kenya) unategemea nn? dafu lenu lineanza ku gain it's real value baada ya export kushuka na kupelekea ufinyu wa dollars, na hapo bado after five to ten years Tsh itakuwa juu ya Kshs mtake msitake, ni kama zamani tu Tzs ilikuwa juu ya vi currency vyote vya nchi za wapumbavu wa EA .KSH has depreciated against all currencies including the dollar and the Euro, sio dhidi ya hiyo madafu yenu pekee yake. It's economics bongolala, not wishful thinkings. It will will get Bullish soon and regain its strength against local currencies. Enjoy the moment while it lasts
Kamuulize Ruto na Gachagua sisi hiyo haituhusu.Any economics fact to prove your point?
Wew dogo.. akili zako ni hafifu sana, sijui unaishije na hizo akili.Wakunya mkitaka Afcon tune in Azam pekee hakuna Cha DSTV L
Wala nani.View attachment 2861404
Now that KSH imeporomoka, are we still doing currency managing? Mibongolalala katika ubora waoHiyo tungeita currency managing maana nyie ndio mabingwa wa hiyo kitu 😁
Nyangau ni nyangau tuu haachi asili yake ingekuwa free floating currency sasa hivi tungekuwa tunaongelea 1Ksh =3Tshusiniambie na kuporomoka kote huko wanafanya currency management?
Wewe dwanzi I didn't expect any meaningful answer from youKamuulize Ruto na Gachagua sisi hiyo haituhusu.
Yes with the meagre dollar resources that you have 😁Now that KSH imeporomoka, are we still doing currency managing? Mibongolalala katika ubora wao
Wewe mbuzi,Hawa tbc hawatarusha mechi zote kama Azam.Supersport Wana Haki ya premier ila Kuna Baadhi ya mechi zinarushws Hadi na Azam.Ndicho kitafanyika hata huko Afcon.Wew dogo.. akili zako ni hafifu sana, sijui unaishije na hizo akili.
Wanaweza kuangalia AFCON kwa TBC kupitia DSTv
View attachment 2861406
View: https://twitter.com/StAugustineoftz/status/1741834899357655421
Mwanawane habari nzuri kwa ChoiceVariable
Yes albeit at a lower rate than you would have wanted due to dollar scarcity 😁Now that KSH imeporomoka, are we still doing currency managing? Mibongolalala katika ubora wao
Zamu yetu Kigoma na sisi!Zamani sana nilishaipost kwenye jukwaa letu la Kanda ya Ziwa vs Nyanda za Juu Kusini Kahama VS Njombe/Mafinga
Mama hana hiyaja na KigomaZamu yetu Kigoma na sisi!