Itaanza Dar Moro kwanza ila mpaka Dodoma ndio July.February ni Dar-Moro! Moro-Dom-Makutupora though over 90% done mambo bado nadhani vituo bado havijakamilika.
Itaanza Dar Moro kwanza ila mpaka Dodoma ndio July.February ni Dar-Moro! Moro-Dom-Makutupora though over 90% done mambo bado nadhani vituo bado havijakamilika.
Unamdokeza nani? Tuna access ya habari nyingi na hatuitaji habari zako za kijinga humu.Huku Huwa tunaweka vidokezo,ikiwa mjadala tunahamia kule
Very stupid.Jukwaa la siasa lipo lakini haendi!
Kazi ni kucopy kila link ya post anayokutana nayo X hata kama haihusiani na humu.
Suku gang unateseka upande gani?Unamdokeza nani? Tuna access ya habari nyingi na hatuitaji habari zako za kijinga humu.
Hata mjinga ana umuhimu wake.📌📌🔨 Unaumia upande upi bwana Suku gang?
Kubwa la wajinga ndio wewe sasaHata mjinga ana umuhimu wake.
Soon inafika sh 5Asante MUNGU 🇹🇿🇹🇿🤗🤗
View attachment 2859822
Tufanye petition na kuipeleka kwa mods wapige ban mazima, accounts zake zote, na uzuri ana history nzuri ya ban.Huyo punguani anaharibu sana hili jukwaa kwa posts zake za kipumbavu.
Hizi daraja wazinyanyue ili hapo chini kuwe na uwezo wa kupita boat za mizigo,kwa mfano ile nyerere bridge ingekua juu halafu kule kurasini kungejengwa dock yard kubwa sana kama wanavyofanya nchi za ulaya hasa holland
ofcorse meli za mizigo haziwezi pita ila private boats zinapita! na kama unajua TPA plan marina, cruise ships terminal zitajengwa Kunduchi na Slipway!Hizi daraja wazinyanyue ili hapo chini kuwe na uwezo wa kupita boat za mizigo,kwa mfano ile nyerere bridge ingekua juu halafu kule kurasini kungejengwa dock yard kubwa sana kama wanavyofanya nchi za ulaya hasa holland