Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mambo haya ndio siyapendi. Hayajengi unadhani unawamiza wenzako kumbe ni upumbavu tu.
Kama huyapendi wewe aliyekwambia na Mimi siyapendi ni nani?

Upumbavu kwako ila kwangu na brain brash so tusipangiane maisha fanya Yako kama inakukera pita huko.
 
Unafaidika na nini sasa? Stupid.
Wewe ndio stupid kudandia mambo yasiyokuhusu.Jikite kwenye issue inayokupa ugali.

Tumekuwa na mijadala ya aina hii since Magufuli Yuko hai.na kabla ya wewe kupata uteuzi.

Kwa hiyo usipende kudandia treni Kwa mbele utapata miscarriage na inaonekana huna stamina kabisa.
 
Pangani bridge tanga kazi imeanza
Daraja la muda la mkandarasi
FB_IMG_1704263767699.jpg
 
Common sense must be common here.
Utakuwaje na. 51 ships ndani ya bandari na unaexpect 19!!!
Serious ports do expect more ships than zenye ziko kwa bandari ,
Tumia akili

Jengeni more berths ,izo 11 mko nayo ni kidogo sanaaaa.
Kama una mzigo wako kwenye moja ya hizo meli na stock yako imeisha ndio utajua hii ni inefficiency au jambo la kufurahia.
 
Wewe ndio stupid kudandia mambo yasiyokuhusu.Jikite kwenye issue inayokupa ugali.

Tumekuwa na mijadala ya aina hii since Magufuli Yuko hai.na kabla ya wewe kupata uteuzi.

Kwa hiyo usipende kudandia treni Kwa mbele utapata miscarriage na inaonekana huna stamina kabisa.
Unaendekeza vitu vya kijinga ambavyo havijengi. Who is Sukuma Gang?
 
Back
Top Bottom