Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi hawa wakunya wanaona quality ya workmanship kwenye hivi vyombo ukilinganisha na vyao ama ni blind patriotism ndio inawasumbua?
Dunia nzima inatumia chinnese bus wao sijui wako ulimwengu gani 😅😅😅😅😅

England hii 👇👇👇👇
Screenshots_2023-12-27-18-04-56.png

images - 2023-12-27T180605.342.jpeg







Colombia 👇👇
images - 2023-12-27T180827.222.jpeg
800px-Autobuses_eléctricos_BYD_en_Bogotá.jpg
images - 2023-12-27T180806.119.jpeg
 
Teargas mchina anauza bus ulimwengu mzima na yeye ndio anaeongoza kwa mauzo ya bus ulimwengu mzima hakuna nchi haitumii bus za kichina tena kwa wingi hakuna na haitakuwepo 😅😅😅😅😅😅😅

Hata turkey ni mabingwa sana wakutumia bus aina ya benz ila kwa sasa wame shift kwenye chinnese modern bus kwa fujo, nchi za kiarabu ndio kabisaa kila kona ni bus za kichina na ndio matajiri wa ulimwengu hao

Hata nyinyi mushanza kununua chinnese bus kwa fujo na bado time will tell 😁😁😁😁

Tayar kampuni ya howo imeweka plant kigamboni wataanza ku aseemble trucks including tippers alaf za ndani kampuni za bus za kichina wako mbioni kuweka plant yao tanzania kwasababu karakana yao soon wanaizindua ambayo itahudumia east and central africa 😅😅😅😅😅😅
 
Vyama vyote vya upinzani kwenye nchi hii vina hali na morali wa kuiletea Tanzania Maendeleo.......ifike hatua hiki Chama cha Mapinduzi kipumzike

Haiwezekani tunaelekea miaka 70 toka uhuru ni Chama kile kile kipo kwenye dola na bado kinafanya machafu kwenye hili taifa......Tunahitaji mawazo mbadala kutoka kwa vyama mbadala ili tuweze fanikiwa
Tz upinzani Bado hawajajipanga
 
Mkuu hata kama unaishabikia Yanga, weka mapenzi pembeni, simba ameipambania nchi sana CAF, back then Tulikua tunapeleka timu mbili tu, na unakuta zote hazitoboi, hata makundi, Ila Simba kajazia nchi point kama zote now tupo na Uhakika wa kupeleka 4 kila msimu na imefika hadi Timu moja ya TZ inaanzia mechi ya mwisho ya mtoano.

Kwako hayo sio mafanikio?


Ndio Yanga anacheza vizuri now, vipi kama kusingekua na timu yoyote iliyotoboa CAF, unadhani yanga Malengo yao yangekua wapi kama si kuingia makundi tu, kwa sababu simba ashapiga Robo mpaka imezoeleka, Yanga mkaweza weka malengo mpaka Nusu to up,

Simba aheshimiwe tafadhali. Tusingekua huku kutambia watu CAF.
kwani kwenye hizo points ni za simba pekee? za yanga hazipo hapo? msimu uliopita Yanga kacheza fainali unaonaje hapo? sasa nasemaje kila mtu ashinde mechi zake, tuone nani mkubwa.
 
Ni kweli mwaka huu mngeingia ki vyovyote ila kama msingekuwa mabingwa, bado mgekuwa na nafasi kwasababu ya rekodi tuliyoiweka. Tusiongee mengi, tusubiri tuone nani atafika mbali CAF.
sawa sawa mkuu, tusubiri tuone. hakuna visingizio vya point mana kama point sio za Simba pekee, Yanga msimu uliopita kaipa hii ligi points nyingi sn kwa kucheza kwake fainali ya confederation.
 
There is a big difference between using borrowed money for intended projects and mismanagement of borrowed funds to enrich political elites
Unajitoa ufahamu sio kwenye hiyo link under champion league hujaona Simba semi final ama ni mapenzi tuu na timu yako?
champions league imeanza lini na Simba kacheza lini hiyo semi.
 
Back
Top Bottom