The Sunk Cost Fallacy 2
JF-Expert Member
- Nov 8, 2022
- 9,434
- 10,968
Barabara za Kenya hasa za hapo Nairobi ndio zimepauka na Zimejaa vumbi jekundu.Barabara zenu kwani huwa mnazinyima bitumen ,
Always white zimeparara!!!
Barabara zetu ziko sawa
Barabara za Kenya hasa za hapo Nairobi ndio zimepauka na Zimejaa vumbi jekundu.Barabara zenu kwani huwa mnazinyima bitumen ,
Always white zimeparara!!!
We unaumwa kichwa eti kwani uoni mkeka apo au unaleta ubishi kama kamongoBarabara zenu kwani huwa mnazinyima bitumen ,
Always white zimeparara!!!
Nalishangaa ilo lishamba ata kusoma alijui ata kuona ndio ujue kuna ukosefu wa viini lishe apo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😁 😁 😁😁😁😁😁😁😁😁😁Barabara za Kenya hasa za hapo Nairobi ndio zimepauka na Zimejaa vumbi jekundu.
Barabara zetu ziko sawa View attachment 2839708View attachment 2839709
Vipe ile ya kwenu ilikuwa ni senior ama ilikuwa u 18 na mkala ukuni vizuri kwa waganda mkashona midomo.Hawa watu mkiangalia ni under 15!!!
Yaani nchi yenu kila kitu ni jokes tupuuuu
Barabara zenu kwani huwa mnazinyima bitumen ,
Always white zimeparara!!!
Ushindi wa penalt hahhaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa😁😁😁😁😁 wajinga sana hao mumizVipe ile ya kwenu ilikuwa ni senior ama ilikuwa u 18 na mkala ukuni vizuri kwa waganda mkashona midomo.
Ngoja ni zoom vizuri atuoneshe wapi tumenyima bitumenNalishangaa ilo lishamba ata kusoma alijui ata kuona ndio ujue kuna ukosefu wa viini lishe apo 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😁 😁 😁😁😁😁😁😁😁😁😁
hio nyang'au imefungiwa kama mtoto bikra halitokagi lione nchi nyingine zikoje.Barabara za Kenya hasa za hapo Nairobi ndio zimepauka na Zimejaa vumbi jekundu.
Barabara zetu ziko sawa View attachment 2839708View attachment 2839709
Kwa nini unakuwa mbishi namna hii?😎Hawa watu mkiangalia ni under 15!!!
Yaani nchi yenu kila kitu ni jokes tupuuuu
Saizi tumeamua tuweke pembeni undugu,ni maslahi kwenda mbele mkunyalazy akikatiza tunakula kichwa 🤣🤣Mshukuru mungu mlikutana na kizazi cha wazee wetu wastaarabu ila kwa kizazi cha sasa hivi tz mtajuta mtajua hamjui namwambia kuna wadogo zzetu wanakuja na moto mwingi ndio kaka wako tiktok kaka zao tumewanesha namna ya kuitangaza nchi yao na yale watu hawajui wapaswa kujuzwa tutapiga hizo kichwa hadi mpige nduru.
Dada na kaka yangu ni mtanzania ndugu yangu ni mtanzania nje ya hapo maslahi kwanza East Africa ya nyoko hapa ni maslahi kwanza undugu na hawa nyangau hi big no.Saizi tumeamua tuweke pembeni undugu,ni maslahi kwenda mbele mkunyalazy akikatiza tunakula kichwa 🤣🤣