Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

😂😂😂

Yani perfect areas with high rainfall and high CBR soils barabara zinaoshwa yet they have no single photo lakini za Kenya kwenye arid areas ambako mchanga ni changarawe loose wamejaza humu mapicha. Halafu wakati wa repairs wanajaza zao zetu hawaweki. These guys are hateful hypocrites.😂😂😂
GAPPQkRWEAAEXce.png

HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAAA 😁 😁 😁 😁 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 😎
 
Sasa mtaenda wapi wkt Tz ndiyo ulaya yenu.
Sisi compass yetu tukitoka Tz huwa mara nyingi ina point South na sio near North maana huko ni matatizo tupu (Somalia, Kunya, south sudan, Ethiopia Djibouti na Eritrea)
Hata nyie Wakunya hamuwezi kufikiria kwenda Djibouti Somalia Eritrea au South Sudan kwa leisure lazima compass isome South upende usipende. All these southern states we mentored them well before and after independence ndio maana mnaona wako civilized na wanajitambua.
 
Sisi compass yetu tukitoka Tz huwa mara nyingi ina point South na sio near North maana huko ni matatizo tupu (Somalia, Kunya, south sudan, Ethiopia Djibouti na Eritrea)
Hata nyie Wakunya hamuwezi kufikiria kwenda Djibouti Somalia Eritrea au South Sudan kwa leisure lazima compass isome South upende usipende. All these southern states we mentored them well before and after independence ndio maana mnaona wako civilized na wanajitambua.
Umewapiga na rungu kubwa sa awa watu why wasiende uko somali wakapige maphoto wanakimbilia tz tuseme kila mkenya anazo ndoto za kufika Tanzania piga ua garagaza
 
😂😂😂

Yani perfect areas with high rainfall and high CBR soils barabara zinaoshwa yet they have no single photo lakini za Kenya kwenye arid areas ambako mchanga ni changarawe loose wamejaza humu mapicha. Halafu wakati wa repairs wanajaza zao zetu hawaweki. These guys are hateful hypocrites.😂😂😂
Sio kwamba hatupendi kuwa na hizo picha bali hizo picha ni za kitambo sana, so ni ujinga kuweka picha za enzi za Moi au Kibaki wakati Ruto yupo. Mnatuwekea picha za enzi ya Mwinyi wakati sisi tunaweka picha recently 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Back
Top Bottom