Wapi state of art border patrol ambao wameshindwa Dhibiti uingizaji silaha kiholela, Wapi KDF ambao wameshindwa kutumia intelligence yao kuwasaidia GSU or police.
Wapi One of Kind nyenyenye. Hao wajinga wakiona nguo za kukodi na miwani ya kuchomela vyuma wanaona wamemaliza.
Hii Bandit sipati picha ingekua bongo, RPC wa eneo pressure ambayo angepewa asingelala, plus Waziri wa mambo ya ndani asingelala mpaka iishe.
Nakumbuka MWANZA ilikua na inshu ya ujambazi, ikatoka operation kali kwishaa.
Na ni Police tu walidili nayo.