buffalo44
JF-Expert Member
- May 8, 2016
- 5,126
- 13,106
As usual nimesema hivi vitu ndivyo baadae vinatupa advantages mbeleni, imagine afcon inakuja 2027, na tupo well connected in public transportation, na tupo experienced kuhandle watu wengi kwa wakati mmoja, wakati KENYA ni matatu ndio yapo, na wakora kama wote na wanawaza kuhost? Ikifika AFCON CAF si wataomba buses za BRT, na Treni hiyo inaenda Dom ambako kuna uwanja mwingine, Arusha napo kuna Buses modern kama zooote. Hizo factors hawaziconsder wakunya wao wanaconsider uwanjaaaa
Uwanja mzuri wa nini ikiwa kufikika taabu, usalama changamoto, hakuna experience jinsi ya kuhandle vitu, nasubiria AFCON tuwapelekee wanakamati wa kuwasimamia 🤣🤣
Uwanja mzuri wa nini ikiwa kufikika taabu, usalama changamoto, hakuna experience jinsi ya kuhandle vitu, nasubiria AFCON tuwapelekee wanakamati wa kuwasimamia 🤣🤣