Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Safi sana, hii kampeni itazaa matunda soon, naona watanzania wengi waliozaliwa nje wanavutika na timu yao ya taifa, hii imeanza kutulipa, Tanzania ni nchi ya vipaji vya kila aina tena soka ndiyo kabisa tangu enzi na enzi ila now tuko serious kweli kweli.
Comoro timu yao ilifanya vizuri afcon iliyopita sababu ya kampeni kama hii
 
Back
Top Bottom