Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kigamboni City Project sio mradi wa decorations,ilikuwa ni mradi wa private sector acha kutetea ujinga wa mtu wenu.

Kama hufanyi decorations unajali returns Sgr ya Dar-Mwanza unajenga Ili ikasafirishe mzigo gani zaidi kuwa ni tembo mweupe?

Developers wangekuwa private sector sisi tungepigaje? Ukiambiwa Serikali ndio itatoa pesa kujenga Kigamboni?

Watu wenye mawazo ya kijinga na kijima na ya kijamaa mko wengi sana Bado na ndio mnakwamisha Tanzania hii.

Picha zote za majengo ya Dar mnayolingia humu ndani zilikuwa developed awamu ya Mkapa na JK.Wangekuwa na akili ya kindezi kama ya Mwendazake mngetoa wapi Cha kujivunia?

Nampongeza Samia Kwa kuwa totally opp na mawazo ya wajamaa ,she is business minded and friendly ndio maana mambo yanaenda smoothly bila visingizio wala kuvimba sura, mapovu na mihemko.

Tanzania Huwa tunapata viongozi wenye mawazo ya hovyo sana upande wa Wakristo(RC),utaona akitoka Samia atakuja mwingine atavuruga Kila kitu.

View: https://www.instagram.com/p/Czxe9_cIOyk/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Wallahi wewe ni mwehu kupita uwehu wenyewe.
 
Kigamboni City Project sio mradi wa decorations,ilikuwa ni mradi wa private sector acha kutetea ujinga wa mtu wenu.

Kama hufanyi decorations unajali returns Sgr ya Dar-Mwanza unajenga Ili ikasafirishe mzigo gani zaidi kuwa ni tembo mweupe?

Developers wangekuwa private sector sisi tungepigaje? Ukiambiwa Serikali ndio itatoa pesa kujenga Kigamboni?

Watu wenye mawazo ya kijinga na kijima na ya kijamaa mko wengi sana Bado na ndio mnakwamisha Tanzania hii.

Picha zote za majengo ya Dar mnayolingia humu ndani zilikuwa developed awamu ya Mkapa na JK.Wangekuwa na akili ya kindezi kama ya Mwendazake mngetoa wapi Cha kujivunia?

Nampongeza Samia Kwa kuwa totally opp na mawazo ya wajamaa ,she is business minded and friendly ndio maana mambo yanaenda smoothly bila visingizio wala kuvimba sura, mapovu na mihemko.

Tanzania Huwa tunapata viongozi wenye mawazo ya hovyo sana upande wa Wakristo(RC),utaona akitoka Samia atakuja mwingine atavuruga Kila kitu.

View: https://www.instagram.com/p/Czxe9_cIOyk/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

Labda nikuulize swali dogo kutokana na akili yako kwann tanesco linaendeshwa na serekali likiwa linafanya biashara?? Na kama ni hvo kwann wasiwape private sectors tukaondokana na adha ya kuhujumu miondominu ya umeme kwa maslahi ya wachache???😅😅😅😅😅

Ukijibu hili swali sasa tutaenda kwenye mada nyingine
 
Kigamboni City Project sio mradi wa decorations,ilikuwa ni mradi wa private sector acha kutetea ujinga wa mtu wenu.

Kama hufanyi decorations unajali returns Sgr ya Dar-Mwanza unajenga Ili ikasafirishe mzigo gani zaidi kuwa ni tembo mweupe?

Developers wangekuwa private sector sisi tungepigaje? Ukiambiwa Serikali ndio itatoa pesa kujenga Kigamboni?

Watu wenye mawazo ya kijinga na kijima na ya kijamaa mko wengi sana Bado na ndio mnakwamisha Tanzania hii.

Picha zote za majengo ya Dar mnayolingia humu ndani zilikuwa developed awamu ya Mkapa na JK.Wangekuwa na akili ya kindezi kama ya Mwendazake mngetoa wapi Cha kujivunia?

Nampongeza Samia Kwa kuwa totally opp na mawazo ya wajamaa ,she is business minded and friendly ndio maana mambo yanaenda smoothly bila visingizio wala kuvimba sura, mapovu na mihemko.

Tanzania Huwa tunapata viongozi wenye mawazo ya hovyo sana upande wa Wakristo(RC),utaona akitoka Samia atakuja mwingine atavuruga Kila kitu.

View: https://www.instagram.com/p/Czxe9_cIOyk/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==

ww unataka tuwe na akili za kibepari kama bwana zako ??😅😅😅😅

China na akili za ujamaa ndio hao wanaitesa dunia leo 😅😅😅😅

Ww unafkiri bika ujamaa nchi hii ingekalika ??tungekua kama hawa👇


View: https://twitter.com/StandardKenya/status/1725749716174971014?t=yc00AvpoZc9QZTxsQQ5cCQ&s=19
 

View: https://youtu.be/GIs-YbEOlpk?si=B4sqV987xHBbw78s

MY TAKE
Vitu Ukunya hautawahi ona pale kundustan


Tujikumbushe kidogo kauli za mnuka mavi 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230910-205005~2.png
 
Hvi barabara ya kutoka mbande kwenda chanika mbona imesahaulika sana ??

Na barabara ya kutoka banana kuja msongola kwann hawaijengi?

Ndio bypass zenyewe lakini hola
Magu alikuwa njiani kuijenga ila kwa sasa tusahau, ni shida sn aisee, ile barabara inajengwa nusu nusu alafu kule kuna hospitali Amana imehamishiwa kule ila miundombinu sasa ni changamoto mno.
 
Magu alikuwa njiani kuijenga ila kwa sasa tusahau, ni shida sn aisee, ile barabara inajengwa nusu nusu alafu kule kuna hospitali Amana imehamishiwa kule ila miundombinu sasa ni changamoto mno.
Yes ujenzi ulishaanza tayar kuna vipande vimepigwa lami lakini nimeona sasa miaka 3 inakatika na hakuna kinachofanyika au kule labda wanaishi ngedere sio watu
 
Yes ujenzi ulishaanza tayar kuna vipande vimepigwa lami lakini nimeona sasa miaka 3 inakatika na hakuna kinachofanyika au kule labda wanaishi ngedere sio watu
Yani kuna watu wengi sana mkuu, ukitaka kujua mida ya asubuhi au jioni kuna gari nyingi mno lkn barabara hovyo.
 
Back
Top Bottom