Kigamboni City Project sio mradi wa decorations,ilikuwa ni mradi wa private sector acha kutetea ujinga wa mtu wenu.
Kama hufanyi decorations unajali returns Sgr ya Dar-Mwanza unajenga Ili ikasafirishe mzigo gani zaidi kuwa ni tembo mweupe?
Developers wangekuwa private sector sisi tungepigaje? Ukiambiwa Serikali ndio itatoa pesa kujenga Kigamboni?
Watu wenye mawazo ya kijinga na kijima na ya kijamaa mko wengi sana Bado na ndio mnakwamisha Tanzania hii.
Picha zote za majengo ya Dar mnayolingia humu ndani zilikuwa developed awamu ya Mkapa na JK.Wangekuwa na akili ya kindezi kama ya Mwendazake mngetoa wapi Cha kujivunia?
Nampongeza Samia Kwa kuwa totally opp na mawazo ya wajamaa ,she is business minded and friendly ndio maana mambo yanaenda smoothly bila visingizio wala kuvimba sura, mapovu na mihemko.
Tanzania Huwa tunapata viongozi wenye mawazo ya hovyo sana upande wa Wakristo(RC),utaona akitoka Samia atakuja mwingine atavuruga Kila kitu.
View: https://www.instagram.com/p/Czxe9_cIOyk/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==