Unataka tu comment nini juu ya huu upuuzi? What is gorofa 7 za 20fl seriously something is missing upstairs 😁Mbona walipita hii kimya kimya? 😂 😂 😂
Unataka tu comment nini juu ya huu upuuzi? What is gorofa 7 za 20fl seriously something is missing upstairs 😁Mbona walipita hii kimya kimya? 😂 😂 😂
Umeanza kuelewa somo 😁😁😁😁
Bado Hujasema Hadi useme maana una ujumbe wako kutoka Kwa Makonda hapa 👇
View: https://twitter.com/Nipashetz/status/1724831226849006079?t=UJMz_vCjqf3trL9CjZmO6w&s=19
Hujasema Hadi useme 😁😁😁😁Hujui hata nimepost kwasababu ipi..
wew mtu kukudaka kwenye angle zake ni rahis sana sababu ya umbumbu wako, yan ndo mana nimejua sura yako kirahis, na nimejua wew ni dalali wa mabati, afu unajifanya/unadanganya watu eti ni muhandis wa halmashauri
Ila kijana kiufup, unanifurahishaga vitu vingi sana 😄😄
Jambo jingine Eng wa halmashauri.. ushapewa elimu ya kutosha kuhusu "TAZARA kuwa SGR"?
Wacha wivu! FACT IS Hamna mall kubwa namna hiyo in the whole of Ukunyani!Ati Mall tena?… Mara Mall Mara logistics center…could you please stick to one storyline only…🤣🤣🤣
Huu ni wivu uliopindukia kutoka kwa kanyang'au kamoja hivi😁😁😁Ati Mall tena?… Mara Mall Mara logistics center…could you please stick to one storyline only…🤣🤣🤣
Ukunyani leo hii Duale akiwa Rais Wajir itakuwa city! Wapuuzi sana hawa jamaa!w
who made Eldoret city?....story za jaba wachana nayo