Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ujenzi unaendelea wa Upanuzi wa Vyuo na Ujenzi wa Kampasi Mpya Kwenye Mikoa yote Tanzania.

Kazi imeanza Chuo Kikuu Cha Kilimo na Teknolojia Cha Mwl.Nyerere Butiama
Ila naona kama vile wange-concentrate resources Butiama kwanza! Kiwe chuo cha at least 5000 students!
 
Parklands Nairobi
1700060183497.jpg
 
Ila naona kama vile wange-concentrate resources Butiama kwanza! Kiwe chuo cha at least 5000 students!
Concentration ni hapo hapo Butiama,Tabora ni Learning Centre tuu.

Zaidi ya Bil.103 zimetolewa na kutakuwa na wakandarasi 5 tofauti.

Musoma kumenoga huku Butiama university kule Kwaraa Hospital maalumu ya Ubobezi wa Mambo ya Mifupa maana imekuwa Centre of Excellence Kwa tiba za Mifupa.
 
Na Mv Victoria? Kajenga yeye? Mkatoe yale maneno Hapa Kazi Tu! Mv Ukerewe pia? Mna upuuzi sana watu humu ndani!
Kafie mbali, mlikuwa vichwa chini dhidi ya wakenya pumbavu, hao marais wenu sijui Kikwete sijui mkapa, wote walikuwa wanachekesha tu, mtu hata flyover kujenga ilikuwa issue lkn mwamba kama mwamba kajenga vyote hivyo na akaenda mbali zaidi kajenga vitu ambavyo kwenu ilikuwa ni ndoto alafu leo mnaongea upupu, kafie mbali.
 
Back
Top Bottom