Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mtu haitwi kwa majina anaitwa kwa jina. Hata kama liwe lina maneno mia litaitwa jina.
Huwezi kusema hata kwa kingereza My names is KOLO INZI LOADED utasema My name is KOLO INZI LOADED
Na kwa kiswahili hivyo hivyo utasema Jina langu ni "KOLO INZI LOADED" siyo Majina yangu ni "KOLO INZI LOADED"

Nenda shule dogo bado upo chini sana kichwani Kwikwikwikwikwi.
 
just came across this pic...had to post it...largest mall in africa ukitoa SA
3928-mallnairobi-04.JPG

Duh acha kudanganya Watu mzee ..unahisi hatujui au ..that mall is 62,000sqm ..hebu katafute mall of eygpt au mall zilizoko Morocco..kwanza Rock City Mall ya mwanza is 50,000sqm imepitwa 12k sqm na hio Two Rivers
 
Duh acha kudanganya Watu mzee ..unahisi hatujui au ..that mall is 62,000sqm ..hebu katafute mall of eygpt au mall zilizoko Morocco..kwanza Rock City Mall ya mwanza is 50,000sqm imepitwa 12k sqm na hio Two Rivers
Egypt na Morocco ziko Sub-Saharan Africa?😀😀😀 kisha usifananishe two rivers na huo uchafu wa sijui rock village...
 
Meanwhile in Mwanza. Sisi tunazungumzia mambo yetu na ninyi issue za Zimbabwe na mambo yao zinakuwashia nini?


hio inaitwa breaking news...huwa zinapelekwa kwa forums kote duniani pamoja na advertisements...we vipi?
 
Egypt na Morocco ziko Sub-Saharan Africa?😀😀😀 kisha usifananishe two rives na huo uchafu wa sijui rock village...

Hukusema sub saharan africa umesema Africa ..au umeshndwa kusoma post zako mwenyewe ..una njaa nn
About Mall of Eygpt 165000sqm
08dc25b16000d09101953adc16b611cc.jpg


About Rockcity Mall Mwanza 50,000sqm
b3a73a239a4d08763cb188960c7bde92.jpg


About Two Rivers 65,000sqm which Jay456watt claims ndo Africa’s biggest
4a2ff0458392f1185ab3ef2d08572b03.jpg
 
Hukusema sub saharan africa umesema Africa ..au umeshndwa kusoma post zako mwenyewe ..una njaa nn
About Mall of Eygpt 165000sqm
08dc25b16000d09101953adc16b611cc.jpg


About Rockcity Mall Mwanza 50,000sqm
b3a73a239a4d08763cb188960c7bde92.jpg


About Two Rivers 65,000sqm which Jay456watt claims ndo Africa’s biggest
4a2ff0458392f1185ab3ef2d08572b03.jpg
sawa bas...ila bado tuna represent Africa ya Subsaharan pamoja na SA...wengine mnatusindikiza tu
 
sawa bas...ila bado tuna represent Africa ya Subsaharan pamoja na SA...wengine mnatusindikiza tu
mall yenyewe iko wapi? Hivi soko la kariakoo mnaweza hata kulikaribia na malls zenu combine?
 
honestly sijatazama...siwezi poteza muda wangu bure...niletee light rail project au project ingine ya maana nitatazama mpaka mwisho hata iwe ni ya 2 hrs...
huo no uvivu sasa au wivu. Najua nyie wakenya mnawivu sana na Tanzania. Naona wivu wako hapa unauonesha. Sasa video hujaitazama uba quote nini kama siyo upungufu wa nati kichwani?
 
honestly sijatazama...siwezi poteza muda wangu bure...niletee light rail project au project ingine ya maana nitatazama mpaka mwisho hata iwe ni ya 2 hrs...
Tuletee render ya light rail naisubiri😀😀😀😀
 
huo no uvivu sasa au wivu. Najua nyie wakenya mnawivu sana na Tanzania. Naona wivu wako hapa unauonesha. Sasa video hujaitazama uba quote nini kama siyo upungufu wa nati kichwani?
nimekwambia project za kipumbavu siwez tazama...itakua kupoteza muda wangu...wivu? la hasha...hatuwez tukawaskilia nchi tuliyoishinda kimaendeleo wivu...wivu yangu huwa naielekeza kwa nchi zilizoendelea
 
nimekwambia project za kipumbavu siwez tazama...itakua kupoteza muda wangu...
Hilo ni povu sasa. Ni dalili katika kiwango cha juu cha wivu. Wakenya mna wivu sana mkizidiwa mnaanza kulia lia na kususa kama wanawake wenye mimba kwikwikwikw...
 
Back
Top Bottom