Jay456watt
JF-Expert Member
- Aug 23, 2016
- 10,356
- 7,994
Pwahahahaha ati karia what?mall yenyewe iko wapi? Hivi soko la kariakoo mnaweza hata kulikaribia na malls zenu combine?
Pwahahahaha ati karia what?mall yenyewe iko wapi? Hivi soko la kariakoo mnaweza hata kulikaribia na malls zenu combine?
Wivu ni ya waafrika kusini tu na Morocco...sio nchi LDC😀😀😀Hilo ni povu sasa. Ni dalili katika kiwango cha juu cha wivu. Wakenya mna wivu sana mkizidiwa mnaanza kulia lia na kususa kama wanawake wenye mimba kwikwikwikw...
Nyie mnaongelea Supper MarketPwahahahaha ati karia what?
Umeipata hii freshWivu ni ya waafrika kusini tu na Morocco...sio nchi LDC😀😀😀
serikali ilikua inaangazia masilahi ya wananchi wake..thats the job of every government....haimaanishi kuwa tunawaabudu nyie ma LDCSasa mbona serikali yenu ilikuwa inalialia? Mmekuwa kama watoto
So mnaangazia maslahi ya raia zenu hata wanapovunja sheria huo si wehu. Kwanini msiwafundishe raia zenu.serikali ilikua inaangazia masilahi ya wananchi wake..thats the job of very government....haimaanishi kuwa tunawaabudu nyie ma LDC
Tumewanyang'anya mradi wa bomba la ugandaserikali ilikua inaangazia masilahi ya wananchi wake..thats the job of every government....haimaanishi kuwa tunawaabudu nyie ma LDC
sawa lakini msisahau kuwakujia omba omba wenu waliojaa jijini Nairobi...Tumewanyang'anya mradi wa bomba la uganda
Sasa hivi tunawafanyia umafia wa kiuchumi. Mtakoma kikombe mlicho tumia mtakinywea hakika. Nyie wakenya ni puppet wa wazungu.
baada ya kusoma sentensi ya kwanza nimechoka...porojo peleka Tandale...LDC country hakuna kitu inaweza tuambia EA largest economySo mnaangazia maslahi ya raia zenu hata wanapovunja sheria huo si wehu. Kwanini msiwafundishe raia zenu.
Nyie wakenya kichwani ni mapunguwani. Halafu kila wakati mlikuwa mnaimba milima kilimanjaro upo kenya. Hivi mnategemea sisi tulikuwa tunawachukulia poa tu. Am telling for sure kikombe mlichokuwa mnatumia mtakinywea na tena bado. Mtajua what is TZ. Sisi tuko vizuri sana tukiamua kuwapoteza mtapotea very soon.
1. Tumemtoa nduli Idd Amin Dadaa Uganda
2. Tumewang'oa M23 Congo
3. Tuliwafukuza wareno Mozambique
4. Tuliwakomboa SA kutoka makucha ya makaburu
5. Tuliwasabaratisha walikuwa wameivamia Seychelles
6. Tulikomboa Comorors
7. Tulimsimamia Mugabe mpaka akapata uhuru Zimbabwe
8. Kagame kapata mafunzo TZ
9. Museven kapata mafunzo TZ
10 . Kabila kapata mafunzo TZ
Tukianza umafia tunaweza kuwapoteza.
Tanzania ni Moja na Umoja wetu ni ushindi. "Ujamaa kwanza"
Tanzania Oyee
Pwahahahaha 2020 kuna nini? nilidhani ilikua 2025...sasa ni 2020...don't be petty...our economy is not moving backwardsTumieni sheria kuwafukuza kama kweli wapo. Halafu hizo ni propaganda za kitoto. Tunawabinya mpaka mtakoma mpaka 2020 mtajua what is TZ.
GDP growth TanzaniaPwahahahaha 2020 kuna nini? nilidhani ilikua 2025...sasa ni 2020...don't be petty...our economy is not moving backwards
Pwahahahaha 2020 kuna nini? nilidhani ilikua 2025...sasa ni 2020...don't be petty...our economy is not moving backwards
Current AccountAnnael thinks like Osei Tutu