Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwani hawa wakunya wa twitter hawaijui habari ya talanta ultramodern stadium (the one and only[emoji23])?

Screenshot_20231021-121333.jpg
Screenshot_20231021-121255.jpg
Screenshot_20231021-120625.jpg
Screenshot_20231021-122311~2.jpg
 
Hiyo VAR ni mali ya CAF kijana wa Tandale. Kama imekuwa happ all this time mbona hamjawahi leta picha humu tuone
Sama boy 255 huyu mpuuzi anataka kuoneshwa VAR ikitumika kabla ya Simba na Al ahly, hebu muweke sawa kdg ili atambue sisi tulitangulia kabla yao🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Team bado papatu papatu wachezaji wanaruka ruka tu uwanjani huyo chama munaemtegemea anapotez mipira ovyo🤣

Sasa munaenda kwao mukiwa na mlima wa magoli 2+ kule ndio mutajamba cheche sasa
Unatuletea uchuro sasa.
 
Miradi ya tangia megafoool huko hai ndio unaitwa mpya, miradi ya Uhuru utayaweza tukuhesabie?
Mradi mmoja tu wa jnhpp unamalizana na vimiradi vyenu vyote na bado chenji inabaki, isitoshe nyie vimiradi vyenu vya $100,000 za mchina ndiyo ufananishe na mradi wa billions of dollars pesa za ndani?
 
Back
Top Bottom