ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Lia plz napenda unavolia naomba ulie kwa nguvu sana 😁😁😁😁😁Asante Caf kwa kuandaa the African league.
Lia plz napenda unavolia naomba ulie kwa nguvu sana 😁😁😁😁😁Asante Caf kwa kuandaa the African league.
Mechi ilichezwa usiku wewe unaweka picha za asubuhi wakati mashabiki wanaingia ili kujiliwaza, ok ushapata nafuu sasa? Kula chuma ichooo 🤣🤣🤣Kwani we huoni!?
View attachment 2787926
This was before matchThis thing is very jua kali. Halafu na hiyo mihemko Watanzania hamwezi jaza Stadium!?
View attachment 2787854
Mechi za wakubwa wa Africa hakuna mdogo huko ukigeuka kulia Wydad kushoto Esperance mbele Al Ahyl, nyuma Mamelodi. Lazima uwashinde hawa ili na wewe uwe mkubwa. Kushinda mechi na vitimu vya wavuvi Asas ns zalan tena viwanja vyao vya nyumbani ni hapahapa Lupaso hutafika mbali.Sikupenda Simba ishinde na wala sikutaka ifungwe mana ingetupunguzia credit kama taifa.
Kuna mtu jana sijui juzi alipost pic ya uwanja wa kericho green stadium kwa nje. Nataka kuuliza ndo huu au kuna kericho green stadium mwingine?
View: https://twitter.com/gabrieloguda/status/1715343488479301904?t=H-qLfiq10D1DXdD_-f3OYg&s=19
Huo uchafu hauwezilinganisha na hizi zenu pendwaHvi ww huoni aibu kupost uchafu kama huo yani sijui hua munapata wapi usajiri🤣🤣🤣
Hiyo VAR ni mali ya CAF kijana wa Tandale. Kama imekuwa happ all this time mbona hamjawahi leta picha humu tuoneAisee VAR ilikuwa ya viwango sana, unaambiwa refa akaenda kuangalia VAR na akaoneshwa vzr kabisa kama yupo Wembley mwanangu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
NB: this is new Tanzania, don't dare.
Miradi ya tangia megafoool huko hai ndio unaitwa mpya, miradi ya Uhuru utayaweza tukuhesabie?Yani hakuna siku wakenya wamefanya kitu kikatustua ila sisi daily tunafanya mambo yanayowastua, zamani walikuwa wanatupigia kelele na vimaendeleo vyao uchwara nowadays sisi tunawapiga na maendeleo ya kweli, wakigeuka huku tunawachapa na electrified railway, wakigeuka huku kuna BRT, kabla hawapumua tunawapiga na jnhpp, mara new city of Dodoma, huku new planes kule EACOP, mara best stadiums yani wanajuta kutufahamu, walifikiri sisi ni saizi yao 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Malisaaaa huyo mwarabu bandia. 😂😂😂😂Ndivyo ulivyoambiwa na magufooli.View attachment 2787839