Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kujenga mradi wa SGR sio masihara hususan ya umeme. Huko mbelen tukiwa tunaangaika na subways nch nyingine za kiafrika zitakua ndo kwanza zinaanza kujenga sgr ya umeme in short tutakuwa miles ahead
si uzitaje hizo nchi nyingine...!!! Sema Kenya itakuwa ikihangaika na vitu kama BRT na electrical SGR!
 

Mwiba wa mombasa port na hii ndio kazi ya roro bearth nilisema wakipata roro bearth mombasa wanitag nifunge acc mamaee😅
20230922_172659.jpg
 
Hata JPM alikosa maarifa jinsi ya kuitoa Tanzania kwenye hiyo mikataba! Tena tutalipa sana fidia kwa ukurupukaji wake!
Wewe hili umekazania sana labda kwakua na something against him.

Ni hivi, maarifa gani unaongelea hapa?
Hizi hapa ni aina tofauti za uvunjaji mikataba: Performance of responsibilities, Expiration, Breach of Contract, Termination for Convenience, Force Majeure, Insolvency, Rescission of an Agreement.
But only kama ni moja ya vipengele vilivyo orodheshwa kwenye mikataba. Mikataba mingi kama huu wa bandari ni wa lifetime na hauna vipengele vya uvunjwaji kwa mujibu wa mkataba.

Sasa kama hakuna vipengele hivyo vya uvunjwaji ndani ya mikataba, unabaki na options mbili tu: Mutual Agreement or conflict.

Sasa kwenye mutual agreement ni lazima hela itoke kama compensation or incentives kuwalainisha jamaa waachie, ama muingie kwenye conflict kwa kuvunja mikataba isiyo na ukomo wala vipemgele vya uvunjwaji ambapo ugomvi unaishia mahaka za kimataifa where all parties have a chance za kushinda kesi.

IMEVUNJWA kwa sababu ya ushenzi wa Kikwete aliyeingia mikataba ya kujuha, na TUNALIPA kwakua Mafisadi, genge la Kikwete hawapeleki team ya ushindi mahakamani, yaani wanauza mechi ili tulipe, wapige hela na AKILI ndogo wabaki kumlaumu MAGUFULI.

 
Wewe hili umekazania sana labda kwakua na something against him.

Ni hivi, maarifa gani unaongelea hapa?
Hizi hapa ni aina tofauti za uvunjaji mikataba: Performance of responsibilities, Expiration, Breach of Contract, Termination for Convenience, Force Majeure, Insolvency, Rescission of an Agreement.
But only kama ni moja ya vipengele vilivyo orodheshwa kwenye mikataba. Mikataba mingi kama huu wa bandari ni wa lifetime na hauna vipengele vya uvunjwaji kwa mujibu wa mkataba.

Sasa kama hakuna vipengele hivyo vya uvunjwaji ndani ya mikataba, unabaki na options mbili tu: Mutual Agreement or conflict.

Sasa kwenye mutual agreement ni lazima hela itoke kama compensation or incentives kuwalainisha jamaa waachie, ama muingie kwenye conflict kwa kuvunja mikataba isiyo na ukomo wala vipemgele vya uvunjwaji ambapo ugomvi unaishia mahaka za kimataifa where all parties have a chance za kushinda kesi.

IMEVUNJWA kwa sababu ya ushenzi wa Kikwete aliyeingia mikataba ya kujuha, na TUNALIPA kwakua Mafisadi, genge la Kikwete hawapeleki team ya ushindi mahakamani, yaani wanauza mechi ili tulipe, wapige hela na AKILI ndogo wabaki kumlaumu MAGUFULI.
Hata JPM alikosa maarifa jinsi ya kuitoa Tanzania kwenye hiyo mikataba! Tena tutalipa sana fidia kwa ukurupukaji wake!
 


Raisi wa Bongolala akijaribu sana labda akutane na Museveni.
I don't think she knows there's even a meeting in China.
Ruto cha kwanza ni kutafuta waekezaji.
Serikali ya China ni secondary, and he has indeed met Xi today.


View: https://twitter.com/Kenyans/status/1714621420297212187
 
Back
Top Bottom