Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hata JPM alikosa maarifa jinsi ya kuitoa Tanzania kwenye hiyo mikataba! Tena tutalipa sana fidia kwa ukurupukaji wake!
Hao siyo wajomba zetu, ukiwachekea unakula mabua. JPM alikuwa sahihi, ni bora ulipe faini kidogo lakini nchi iwe huru kwa vizazi vijavyo kuliko kuendelea kuwa mtumwa.

Watu wenye akili kama Putin wanalielewa hili, unafikiri ni hasara kiasi gani Russia ameipata kwenye sanctions na loss of life (and equipment) baada ya kuanza SMO? Ila ukilinganisha na gharama ya utumwa angeipata (miaka na miaka) kama asingewawahi neo nazi, hiyo sacrifice ni ndogo sana.
 
Hao siyo wajomba zetu, ukiwachekea unakula mabua. Ni bora ulipe faini lakini nchi iwe huru kwa vizazi vijavyo kuliko kuendelea kuwa mtumwa.

Watu wenye wenye akili ndiyo wanaelewa hili, we unafikiri ni hasara kiasi gani Putin ameipata kwenye sanction na loss of life (and equipment) baada ya kuanza SMO? Lakini ukilinganisha na gharama ya utumwa angeipata (miaka na miaka) kama asingewawahi neo nazi, hiyo sacrifice ni ndogo sana.
Tumia brain sio kukurupuka

View: https://twitter.com/SautiWatanzania/status/1714344984126575000?t=Qv9sX_AaNbq27B6u-0Ak4w&s=19
 
Yaani humu kwenye shelf za supermarket zetu nikionaga chochote chenye ile tick natupa kule 🤣
Angalau unajua nembo ya kebs inavyokaa, kuonesha bidhaa kutoka kenya zimejaa kwenye supermarkets zenu.. wengi wetu huku hatujui hata nembo ya Tanzania standardization inavyo fanana
 
Yapo mkvndvni mwako.
Kama maji Vijijini hakuna basi Tulia hapa kwenye waya 👇
20230215_120116.jpg
 
Angalau unajua nembo ya kebs inavyokaa, kuonesha bidhaa kutoka kenya zimejaa kwenye supermarkets zenu.. wengi wetu huku hatujui hata nembo ya Tanzania standardization inavyo fanana
The only shit available ni Blue Band tu which is also not yours, usijifariji eti zimejaaa 🤣 🤣 🤣, Tuliona hadi T shirts za SGR yenu zina logo ya TBS.
 
Back
Top Bottom