Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wacha weeeeh 😅😅😅😅
20231017_115044.jpg
 
Mkurupukaji hapo ni Kikwete, na ndio serikali yako ilisign mikataba mibovu mno katika historia ya nchi yetu. Na hatuwezi kuendelea na mikataba inayotunyonya na isiyo na tija kwa taifa.

Kuna Mkataba wa Buzwagi: Karamagi alichukua mihuri ya wizara na kusafiri nayo mpaka Europe na kusign mkataba wa Buzwagi kwenye mahoteli na machangudoa.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1666189845390057478?s=20

Utakua na ugomvi binafsi na kikwete.Mikataba mingi ya madini imesainiwa awamu ya tatu wakati wa akina Mramba,Msabaha,Karamagi na hapa ulikuwa ni muda wa ubinafsishaji.Lengo lilikuwa zuri lakini utekelezaji wake ndio tatizo
 
Utakua na ugomvi binafsi na kikwete.Mikataba mingi ya madini imesainiwa awamu ya tatu wakati wa akina Mramba,Msabaha,Karamagi na hapa ulikuwa ni muda wa ubinafsishaji.Lengo lilikuwa zuri lakini utekelezaji wake ndio tatizo
Wote Mkapa na Kikwete walitukosea sana watanzania kwa kuiuza nchi yetu. Mkapa akiwa ni zao la Columbia University na Kikwete akiwa ni zao la World Economic Forum, taasisi zote hizo ni viwanda vya kutengeneza neo con puppets. Naona Januari na yeye wamempeleka wizara ya nje ili awe karibu na hayo majamaa. Mungu tusaidie kwakweli.
 
Utakua na ugomvi binafsi na kikwete.Mikataba mingi ya madini imesainiwa awamu ya tatu wakati wa akina Mramba,Msabaha,Karamagi na hapa ulikuwa ni muda wa ubinafsishaji.Lengo lilikuwa zuri lakini utekelezaji wake ndio tatizo
Sidhani kama unajua nini unachosema.

Karamagi rasmi uwaziri 2006 mpaka 2008, hajawahi kuwa waziri awamu ya tatu.

Mramba alikuwa waziri wa Viwanda na biashara tangu 1986 mpaka 1989, halafu waziri wa fedha 2001 mpaka 2005, tena waziri wa viwanda na biashara 2006 mpaka 2008. Hajawahi kuwa Waziri wa nishati na madini.

Yona alikuwa waziri wa madini na fedha katika nyakati tofauti na kilichowapeleka ndani ni kusamehe kodi kampuni ya Alex Stewart ya Uingereza.

Hapa tunaongelea mikataba ya hovyo ya uchimbaji wa madini iliyosainiwa na Kikwete na genge lake. Wakina Yona, Mramba, Grey Mgonja, Balali ni kesi ya: Alex Stewart, iliyoletwa na Serikali ili kufanya ukaguzi wa hesabu katika migodi ya dhahabu nchini kwa kuzingatia kanuni, sheria na taratibu za mkataba.

NB: soma kilichoandikwa or kinachosemwa, elewa ulichosoma or kinacho ongelewa then unaweza kuchangia. Hivi ni vitu vinavyo fanana but are not one and the same.
 
Wote Mkapa na Kikwete walitukosea sana watanzania kwa kuiuza nchi yetu. Mkapa akiwa ni zao la Columbia University na Kikwete akiwa ni zao la World Economic Forum, taasisi zote hizo ni viwanda vya kutengeneza neo con puppets. Naona Januari na yeye wamempeleka wizara ya nje ili awe karibu na hayo majamaa. Mungu tusaidie kwakweli.
Hata JPM alikosa maarifa jinsi ya kuitoa Tanzania kwenye hiyo mikataba! Tena tutalipa sana fidia kwa ukurupukaji wake!
 
Back
Top Bottom