Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Arusha Airport

View: https://twitter.com/WizarayaUC/status/1714279820748816874

F8pYY22bkAMD97i


F8pYZ7yaYAAKDqO


MY TAKE
Wapi Kisumu international Airport?
 


Important areas: the nature, outcome and aftermath of this investment project. You would have those ares in your consideration if you went to school and were a good scholar and not a tourist. What were the contractual terms of this investment?

What were Winshear's investment and legal costs kwa wao kupata a windfall of NET AMOUNT $18.5 million baada ya hii settlement?

"Winshear said in a statement that after deducting it's own legal costs, it has received a windfall of a net amount of $18.5 million from the $30m paid by the Tanzanian government"

Halafu wanadanganya wajinga after Africans begin to denounce and reviewing a number of these bogus investment contracts.
"Tanzanian President John Magufuli declared an economic war against "imperialistic foreign investors""

Sasa tukiitwa Monkeys, sijui tunatukanwa or tunaambiwa ukweli?


View: https://youtu.be/1gJ_fJNxNik
 
Mkurupukaji hapo ni Kikwete, na ndio serikali yako ilisign mikataba mibovu mno katika historia ya nchi yetu. Na hatuwezi kuendelea na mikataba inayotunyonya na isiyo na tija kwa taifa.

Kuna Mkataba wa Buzwagi: Karamagi alichukua mihuri ya wizara na kusafiri nayo mpaka Europe na kusign mkataba wa Buzwagi kwenye mahoteli na machangudoa.


View: https://x.com/KipepeComrade/status/1666189845390057478?s=20

Mkurupukaji ni yule aliyevunja mikataba kienyeji
 
Back
Top Bottom