Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Upeleke fainali kwenye uwanja wa watu elfu kumi na tano? Uwanja uko jagwani mbele kuna slums? Unaumwa wewe….😂😂View attachment 2766255
37E68436-020F-4CD5-A06A-7299C2CB1D5A.jpeg

Meza wembe …. And Kasarani will be renovated too… Talanta ni Uwanja mpya….
 
Upeleke fainali kwenye uwanja wa watu elfu kumi na tano? Uwanja uko jagwani mbele kuna slums? Unaumwa wewe….😂😂View attachment 2766255
That’s why nobody takes you seriously Bongolala…first Kasarani ni 60k capacity… ya pili why bring up slums?… have you been to Mkapa stadium?… Another symptom of blind patriotism…🤣🤣
51C148E8-47E4-41AE-807B-285BBD430487.jpeg
 
That’s why nobody takes you seriously Bongolala…first Kasarani ni 60k capacity… ya pili why bring up slums?… have you been to Mkapa stadium?… Another symptom of blind patriotism…🤣🤣View attachment 2766274
Kasarani 60k capacity umepima kwa kigezo gani.? 🤣🤣🤣 Viti au .? Uwanja wenyewe hauna viti ..hii 60k people umepata wapi.?
 
🤣🤣🤣🤣 Bro you don't have this shit already.. ni wapi serikali yenu imesema inajenga huo uwanja.? 🤣🤣🤣
Why are you so addictive to serikali… 🤣🤣..and yes they have already indicated and given contract to KDF engineers…. Am sure you knew that… or ask your Ichogal to update you on Kenyan news…🤣🤣
 
Nimefungua link nikapenda comments za Watanzania wanaojielewa. 😂 😂 😂

View attachment 2765432View attachment 2765433View attachment 2765434View attachment 2765435View attachment 2765436

Kila siku mimi husema humu, tofauti kubwa ya Tazania na Kenya ni expectation ya wananchi. Wakenya wana expectation kubwa mno from the government. Watanzania expectations zao zinakaribia zero ndio maana wengi wao wametosheka na serikali ila wanaumia saana. 😂😂
cc Geza Ulole
NDINDA
Chamoto
game over
Expectations kubwa ni kuandama kulilia ugali? Basi kama ni hizo nyie ni wendawazimu
 
Back
Top Bottom