Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kanairo
IMG_20230925_213352.jpg
IMG_20230925_214009.jpg
IMG_20230925_213847.jpg
 
Wewe ni kiboko yao.
Sasa kiboko yao kwa kuokota picha za Google? Sisi tunasafiri tunakuja kwenu picha tunapiga wenyewe tunaziweka humu, kwa mfano kuna picha kaweka hapo za kitambo sana, zingine kabla hata ya BRT kupita, namuonesha picha mpya anabaki kushangaa shangaa.

Tanzania haina uchafu wa plastiki kwa sasa, lkn jamaa kakuta picha za enzi ya Kikwete kaweka kujiliwaza, fungeni safari mje mpige picha kwa mikono yenu kama mnaweza, mbona sisi tunatuma, mfano mda c mrefu Shebby01 atapost picha alizopiga kwa mkono wake na atazipost humu, sasa na nyie tumeni mtu aje huku. Kuna kajamaa kamoja kalisema katatuma mtu kalipomtuma uyo mtu kazamia kabisa mpk juzi tumemkamata tutamrudisha huko kwenu kama mzamiaji haramu 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Says someone posting from Vingunguti. Pigana na Kipindupindu kwanza kabla ukuje kupigana na mimi😂😂😂😂😂
Kipindupindu Tanzania? 🤣🤣🤣🤣

Mtoto wa miaka sita wa TZ ukimuuliza kipindupindu zaidi ya kusoma darasani hajui hata kinakuwaje kuwaje 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Zaidi ya miaka 15 mlichojenga hakioneni, nyumba naona mbili tu, kote ni empty, nineangalia video mchana ni usenge mtupu.

Dodoma tumeanza kuijenga upya mwaka 2017 now inatishia majiji yote ukanda huu kwa u modernity wake, nyie watu mna safari ndefu sana.
 
Zaidi ya miaka 15 mlichojenga hakioneni, nyumba naona mbili tu, kote ni empty, nineangalia video mchana ni usenge mtupu.

Dodoma tumeanza kuijenga upya mwaka 2017 now inatishia majiji yote ukanda huu kwa u modernity wake, nyie watu mna safari ndefu sana.
Ndivyo magufuli alivyo kwambia alipokua Nairobi hospital?
 
Ya tanzagiza 75m+ na by 2050 itakua 200m,🤣🤣
Kunyans are reproducing like rodents, apparently due to extreme poverty hakuna starehe huko zaidi ya kupigana miti, Évidence show that starehe pekee ya fukara ni ngono na kuzaa watoto wengi , this is is manifesting itself in Kunya .
Just imagine despite a very small landmass your population is similar to that of the Mighty Tz.
 
Kunyans are reproducing like rodents, apparently due to extreme poverty hakuna starehe huko zaidi ya kupigana miti, Évidence show that starehe pekee ya fukara ni ngono na kuzaa watoto wengi , this is is manifesting itself in Kunya .
Just imagine despite a very small landmass your population is similar to that of the Mighty Tz.
👇👇👇👇👇👇

1695681343234.png


1695681273745.png
 

Wapi wameandika Dar kuna kipindupindu, mlipuko wa kuharisha ndiyo kipindupindu? Mbona sisi tunaweka uthibitisho kabisa wa kwamba kenya nzima hivi tunapoongea kuna kipindupindu. Alafu barua ya kutoka mamlaka inakosaje tarehe. Bro, usitumie wanaharakati wa twitter a.k.a wazee wa kupotosha, mara ya mwisho kuwa na kipindupindu Dar ni zaidi ya miaka 10 iliyopita, ndugu zenu wapo wanakuja Dar kila siku waulize kama wamewahi kusikia habari za ugonjwa wa kipindupindu, Dar ni safi mzee hayo mambo ya mauchafu tulishawaachia nyie ma master wa slums, msifosi tufanane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
the Other Delo…. Hahaha…. Wewe huchezi … you fight bullshit with real facts…..silent killer!…..you are a one man wrecking crew …🤣🤣….am nominating you for CNN héroe of the year award…. You deserve it… Keep up the good fight…
Haka si ndio kale kanajiita ka Nairoberry huwa kana I'd nyingi, kakichemka kana badili I'd kanakuja na nyingine with the same handwriting, katapoa tu katake kasitake🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Wapi wameandika Dar kuna kipindupindu, mlipuko wa kuharisha ndiyo kipindupindu? Mbona sisi tunaweka uthibitisho kabisa wa kwamba kenya nzima hivi tunapoongea kuna kipindupindu. Alafu barua ya kutoka mamlaka inakosaje tarehe. Bro, usitumie wanaharakati wa twitter a.k.a wazee wa kupotosha, mara ya mwisho kuwa na kipindupindu Dar ni zaidi ya miaka 10 iliyopita, ndugu zenu wapo wanakuja Dar kila siku waulize kama wamewahi kusikia habari za ugonjwa wa kipindupindu, Dar ni safi mzee hayo mambo ya mauchafu tulishawaachia nyie ma master wa slums, msifosi tufanane 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
👇👇👇👇

View: https://x.com/mshambuliaji/status/1650855940873416705?s=20
 
Back
Top Bottom