Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Tanzania tumetoka nyuma lakini naamini tutafika mbali 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwa kweli ni neema kubwa kuzaliwa Tanzania

1.most advance rail system in east and central Africa
2.most advance sustainable public transport system with an award in Africa.
3.most organized and advanced bus Terminal in Africa.
4.The longest bridge in Africa.
5.The rarest minerals deposits in africa
6.One of the rarest fauna and florals in Africa
7.The most peaceful nation in Africa
8.Most beautiful country women in East Africa
IMG_5161.jpeg
IMG_5162.jpeg
IMG_5166.jpeg
IMG_5170.jpeg
IMG_5169.jpeg
IMG_5171.jpeg
IMG_5172.jpeg
IMG_5173.jpeg
IMG_5174.jpeg

Etc etc…………
 
Acha masihara mkuu viwango vya mpira ni takwimu si porojo na mechi mojamoja.
Bro Yanga tupo serious sana, hatuna masihara hata kidogo, tumepania kuleta mapinduzi ya soka ukanda huu na ndiyo maana unaweza kuona mambo yetu tunayafanya kisasa zaidi, hatuna longolongo, tulishaacha.

Yanga ndiyo timu pekee hapa EA ambayo ipo very organized, ndani ya Yanga kila mtu anafanya majukumu yake, hakuna kuingiliana kama timu zingine, ukitaka kuamini subiri uone mana wote tupo champions league, ngoja tuone nani kidume kwa sasa.
 
Tanzania tumetoka nyuma lakini naamini tutafika mbali 🇹🇿🇹🇿🇹🇿
Kwa kweli ni neema kubwa kuzaliwa Tanzania

1.most advance rail system in east and central Africa
2.most advance sustainable public transport system with an award in Africa.
3.most organized and advanced bus Terminal in Africa.
4.The longest bridge in Africa.
5.The rarest minerals deposits in africa
6.One of the rarest fauna and florals in Africa
7.The most peaceful nation in Africa
8.Most beautiful country women in East Africa View attachment 2761112View attachment 2761113View attachment 2761114View attachment 2761115View attachment 2761116View attachment 2761117View attachment 2761134View attachment 2761135View attachment 2761138
Etc etc…………
1. Reli ambayo haina wateja

2.Brt ilioleta jam kwa barabara zingine

3. Bridge zinazopita kwa uswazi.

4. Rare metals na bado hamna umeme

4. Wananchi wajinga ndo maana serikali haikosolewi
 
Don't even talk about Tatu City.
Tatu city is on another level. Pictures taken today.
Roads construction continues
View attachment 2761111
View attachment 2761110
2. Industrial zone, never seen before in Africa
View attachment 2761120View attachment 2761121View attachment 2761122
3. Residential zones
View attachment 2761123View attachment 2761125View attachment 2761126
4. Construction of big industries continues
View attachment 2761127View attachment 2761128
So mzungu anadanganya au??😅😅😅😅
Ww unadhani hapa ni nairaland au??
Project ina zaidi ya miaka 15 lakini hata kufikisha 1% of its render bado
Screenshot_20230822-184723.png
Screenshot_20230822-134531.png
Screenshot_20230822-134049.png
 
Ya tanzagiza 75m+ na by 2050 itakua 200m,🤣🤣
Tofaut ya tanzania na kenya ni kama 2m only na hapo zingatia tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya eka akilini hio 😅😅😅

Tanzania ina watu takriban 60m wakat kenya ina over 58m
 
Tofaut ya tanzania na kenya ni kama 2m only na hapo zingatia tanzania ni kubwa mara mbili ya kenya eka akilini hio 😅😅😅

Tanzania ina watu takriban 60m wakat kenya ina over 58m
Zingatia kwamba Kenya kuna sehemu kubwa sana ambazo ziko unoccupied wakati tanzagiza kila kona mmefinyana na bado mnazaana Kama kunguni.
 
Bongolala, make Google your friend and find out how big Nyayo estate is. Hakuna gated community kubwa afrika mashariki na kati kushinda Nyayo estate. Nyege zinakusumbua sana wewe bongolala
Hasira za nini sasa, hizo takwimu umezinyofoa matakoni kwako au? Mtake msitake Dom ndiyo habari ya mjini kwa sasa, na huwezi kuniweka hapa eti nishindanishe old estate na hizi za kisasa, picha zipo na kila mtu kaona.
 
Hasira za nini sasa, hizo takwimu umezinyofoa matakoni kwako au? Mtake msitake Dom ndiyo habari ya mjini kwa sasa, na huwezi kuniweka hapa eti nishindanishe old estate na hizi za kisasa, picha zipo na kila mtu kaona.
Sasa kati yangu na wewe unayepingana na documented facts nani ako na hasira?

Nyayo estate is the second-largest estate in Africa. Utaumia sana na mauchungu ila ukweli itabaki pale pale
 
Back
Top Bottom