Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hakuna chochote in East and Central Africa cha kuweka sentence moja na Egypt, SA wala Morocco as far as real estate development is concerned. Hawa watu level walizonazo kwasasa wanaelekea ku battle na first world countries. Heb cheki hii Egypt.new Cairo kwanza πŸ‘‡View attachment 2761991the first super tall building in Africa πŸ‘‡with 80 floorsView attachment 2761993.. the kinda real estate investments .. mountain view πŸ‘‡wala sio paris ni hapahapa AfricaView attachment 2761995.. another one πŸ‘‡View attachment 2761996check out this massive investment in real estate πŸ‘‡ EgyptView attachment 2761997.. ATI kenyans wanadai haka kaeneo ndio largest estate in Africa πŸ‘‡View attachment 2762008. 🀣🀣🀣 Hii ni vichekesho sana.. sijajua ni ignorance ama ni nini. Nicxie nani alikwambia nyayo ni largest estate in Africa.? 🀣🀣🀣 Wacheni kutumia hizo adjectives vibaya manzee. Africa ni kubwa mno na Ina mataifa yaliyoendelea kweli kwa ground . Hiyo paper economy au jidipii isiwachanganye.. ona vile hiyo Egypt ulitaka itajwe inavyofaanan. πŸ‘‡
View: https://youtu.be/6mw0VDr8Fmk?si=1eA2QLhqAZBRhNDs.

Hamna kitu hapo Egypt, nyayo is the second biggest single estate in Africa ask google
 
Dodoma inamuuma sana huyu mbuguma 🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣🀣
πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£β€¦. Every time I see you here I crack up so hard..πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£β€¦.. i remember your daily dose ya β€œ Kenya ni mavi” β€œ Kenya ni uchafu”….. Kumbe the other Delo ndiye Kiboko ya Mabongolalas …. Bongo ni mavi usiku na mchana …you have been exposed.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mitaani kigamboni, cheki lami🀣🀣
Screenshot_20230924_194937.jpg
 
Uchafu unasababisha jamaa bado wanakufa kwa kipindupindu yani cholera huu mwaka wa 2023🀣🀣🀣🀣🀣🀣

Mara ya mwisho kusikia kipindupindu Tanzania ni zaidi ya miaka 10 iliyopita, ona yani nchi nzima ina kipindupindu 🀣🀣🀣🀣
Screenshot_20230925-183957~2.png
Screenshot_20230925-184036~2.png
Screenshot_20230925-184153~2.png
Screenshot_20230925-184116~2.png
 
Waaambie wakunya wote humu ndani wapige screenshots za simu zao kama unataka ugomvi πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
Jamaa wako hovyo sana kimaisha binafsi, 99% wanatumia simu za ajabu ajabu sana, laiti kama ingekuwa ukijiunga humu watu wanajua life lako basi miongoni mwetu wala tusingekuwa tunapoteza muda wetu ku battle na hawa jamaa.
 
Jamaa wako hovyo sana kimaisha binafsi, 99% wanatumia simu za ajabu ajabu sana, laiti kama ingekuwa ukijiunga humu watu wanajua life lako basi miongoni mwetu wala tusingekuwa tunapoteza muda wetu ku battle na hawa jamaa.
Nimeshawajua hawa kenge wanaongea sana ila ukija kwenye ground hamna kitu πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Back
Top Bottom