Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ndo ujue watanzania sio wavumilivu wa uchafu takataka zimeKaa siku tatu wanapiga kelele wakati Nairobi watu wanaishia na kinyesi na hakuna anayejali
huwa mmuda wa gari kupita ndio mtu wa kampuni hupita na speaker kutangaza watu watoe taka na huweka sehemu moja gari kuja kupakiza, shida inatokea gari kupata changamoto ndio likichelewa watu wanalalamika na kupiga picha
 
Back
Top Bottom