Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wangekuwa majirani wangepost kila mahali.😂

View attachment 2761219
Germany
Screenshot_20230924-233614~2.png
 
Sasa kati yangu na wewe unayepingana na documented facts nani ako na hasira?

Nyayo estate is the second-largest estate in Africa. Utaumia sana na mauchungu ila ukweli itabaki pale pale
Ma estate yaliyopo kule SA, ma estate yaliyopo kule Angola, ma estate yaliyopo kule Egypt lkn bado mnajiongopea wajinga nyie, kweli nyie wehu kweli kweli 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Kuna siku ziliwekwa estate za Luanda hapa kila mtu alishangaa, wana estate zaidi ya tano na zote ni kubwa na za kisasa ndiyo uje ujiweke sehemu ambayo haupo 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Bongolalas won't know what hit them

View: https://youtu.be/z_MQXjyOENc

Kama huwa unaangalia tunapoweka video za Dodoma ungeona aibu kuwatag watanzania kwenye hii video, bro Dodoma iko mbali sana kwa sasa, Dodoma tayari imesha take off, majengo ya kisasa na barabara kila kona, ukimuonesha mtanzania alafu u brag about this atacheka sn 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Zingatia kwamba Kenya kuna sehemu kubwa sana ambazo ziko unoccupied wakati tanzagiza kila kona mmefinyana na bado mnazaana Kama kunguni.
Sehem gani kubwa wakat mapori yanamilikiwa na wanasiasa, ikiwa kenyataa pekee anamiliki ardhi yakuweka wakenya million 20 what about other politicians ???

🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣👇👇👇👇
YouTube
YouTube › watch
Khalwale explains how Kenyatta family acquired 500,000 acres of land - YouTube
 
Bro Yanga tupo serious sana, hatuna masihara hata kidogo, tumepania kuleta mapinduzi ya soka ukanda huu na ndiyo maana unaweza kuona mambo yetu tunayafanya kisasa zaidi, hatuna longolongo, tulishaacha.

Yanga ndiyo timu pekee hapa EA ambayo ipo very organized, ndani ya Yanga kila mtu anafanya majukumu yake, hakuna kuingiliana kama timu zingine, ukitaka kuamini subiri uone mana wote tupo champions league, ngoja tuone nani kidume kwa sasa.
Hapo umepaka wanja sana mpaka imekuwa kituko.

All in all nafaurahia mafanikio ya Yanga itasaidia kuimarisha heshima ya nchi baada Simba kufungua njia na kuweka misingi imara kwenye soka la Africa 😀
 
1. Reli ambayo haina wateja

2.Brt ilioleta jam kwa barabara zingine

3. Bridge zinazopita kwa uswazi.

4. Rare metals na bado hamna umeme

4. Wananchi wajinga ndo maana serikali haikosolewi
Umeumia sana 🤣🤣🤣🤣

Mbona huja comment kuhusu mademu wazuri?
 
Back
Top Bottom