Pole kwa maumivu, najua estate ndiyo sehemu pekee mliyokuwa mmebaki nayo ambapo nako huko tumo na tunaenda kuwachakaza vby. Tofauti ya vi estate vyenu na zetu ni kubwa sana, nyie kama kawaida yenu mnagusa gusa sehemu alafu mnaacha, hamuingii in deep, yani ubabaishaji tu kama kawaida yenu, sisi tukifanya tunafanya kweli.
Vi estate vyenu ni cheap, no wonder Dar imeiacha mbali Nairobi kwa thamani ya estate, wakati bado mnazubaa zubaa na Dar, sisi tushaanza kujenga estate mpya za kisasa Dodoma, nyie mmebaki na vi estate ushuzi Nairobi pekee. Watanzania tuna akili kuliko nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣