Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Alafu imekaa hovyo hovyo, sisi tushatoka huko, now tunajenga estate za kisasa.
Ziko wapi mbona hatuzioni? 😆😆😆😆😆 Google Earth mwenyewe msema kweli sijaona hata moja Dar. Kule Dodoma nimeona kijiji kimoja tu 😆😆😆😆
 
I believe in CAF and FIFA rankings maana hao ndio wenye dhamana ya football hao wengine ni vijitaasisi vya mchongo 😅
Kuona ni kuamini bro, Yanga ipo juu ya simba kwa sasa, tena juu kwa vyotee kuanzia ndani ya uwanja mpaka nje ya uwanja 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Ziko wapi mbona hatuzioni? 😆😆😆😆😆 Google Earth mwenyewe msema kweli sijaona hata moja Dar. Kule Dodoma nimeona kijiji kimoja tu 😆😆😆😆
Pole kwa maumivu, najua estate ndiyo sehemu pekee mliyokuwa mmebaki nayo ambapo nako huko tumo na tunaenda kuwachakaza vby. Tofauti ya vi estate vyenu na zetu ni kubwa sana, nyie kama kawaida yenu mnagusa gusa sehemu alafu mnaacha, hamuingii in deep, yani ubabaishaji tu kama kawaida yenu, sisi tukifanya tunafanya kweli.

Vi estate vyenu ni cheap, no wonder Dar imeiacha mbali Nairobi kwa thamani ya estate, wakati bado mnazubaa zubaa na Dar, sisi tushaanza kujenga estate mpya za kisasa Dodoma, nyie mmebaki na vi estate ushuzi Nairobi pekee. Watanzania tuna akili kuliko nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Pole kwa maumivu, najua estate ndiyo sehemu pekee mliyokuwa mmebaki nayo ambapo nako huko tumo na tunaenda kuwachakaza vby. Tofauti ya vi estate vyenu na zetu ni kubwa sana, nyie kama kawaida yenu mnagusa gusa sehemu alafu mnaacha, hamuingii in deep, yani ubabaishaji tu kama kawaida yenu, sisi tukifanya tunafanya kweli.

Vi estate vyenu ni cheap, no wonder Dar imeiacha mbali Nairobi kwa thamani ya estate, wakati bado mnazubaa zubaa na Dar, sisi tushaanza kujenga estate mpya za kisasa Dodoma, nyie mmebaki na vi estate ushuzi Nairobi pekee. Watanzania tuna akili kuliko nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Lia kabisa. Nairobi imewaacha na miaka kumi 😆😆😆😆😆


View: https://www.instagram.com/reel/Cw7x3kbo8JH/?igshid=NjIwNzIyMDk2Mg==
 
Pole kwa maumivu, najua estate ndiyo sehemu pekee mliyokuwa mmebaki nayo ambapo nako huko tumo na tunaenda kuwachakaza vby. Tofauti ya vi estate vyenu na zetu ni kubwa sana, nyie kama kawaida yenu mnagusa gusa sehemu alafu mnaacha, hamuingii in deep, yani ubabaishaji tu kama kawaida yenu, sisi tukifanya tunafanya kweli.

Vi estate vyenu ni cheap, no wonder Dar imeiacha mbali Nairobi kwa thamani ya estate, wakati bado mnazubaa zubaa na Dar, sisi tushaanza kujenga estate mpya za kisasa Dodoma, nyie mmebaki na vi estate ushuzi Nairobi pekee. Watanzania tuna akili kuliko nyinyi 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Modern Estates zinakaa hivi, sio hizo nyumba za kuku mnajenga


View: https://youtu.be/clZ164dVQvQ
 
Hizo zenyu zile mnajenga zipo wapi si mtuonyeshe 😆😆😆


 
Ziko wapi mbona hatuzioni? 😆😆😆😆😆 Google Earth mwenyewe msema kweli sijaona hata moja Dar. Kule Dodoma nimeona kijiji kimoja tu 😆😆😆😆
Bro Dodoma ni yamotoo sio ya mchezo mchezo, kule panajengwa majengo ya kisasa tu, hakuna maneno mengi.

Huku ni Njedengwa na sio Iyumbu kwenye zile estate zinazowaumiza, nyie hamjengi mpya bali mbaonesha zile zile zilizojengwa na wakoloni, sisi tunawaonesha tunazojenga wenyewe, wakenya hamkupaswa kujitawala 🤣🤣🤣🤣🤣
Screenshot_20230924-104134~2.png
Screenshot_20230924-104214~2.png
Screenshot_20230924-104357~2.png
Screenshot_20230924-104650~2.png
 
Bro Dodoma ni yamotoo sio ya mchezo mchezo, kule panajengwa majengo ya kisasa tu, hakuna maneno mengi.

Huku ni Njedengwa na sio Iyumbu kwenye zile estate zinazowaumiza, nyie hamjengi mpya bali mbaonesha zile zile zilizojengwa na wakoloni, sisi tunawaonesha tunazojenga wenyewe, wakenya hamkupaswa kujitawala 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2760537View attachment 2760539View attachment 2760541View attachment 2760543
Hii ndio mnaita modern estates? 😂😂😂😂😂😂😂 Mtanivunja mbavu. Sasa hebu compare hiyo na hii uone ule upuzi mnaojenga

1695542361757.png
 
Bro Dodoma ni yamotoo sio ya mchezo mchezo, kule panajengwa majengo ya kisasa tu, hakuna maneno mengi.

Huku ni Njedengwa na sio Iyumbu kwenye zile estate zinazowaumiza, nyie hamjengi mpya bali mbaonesha zile zile zilizojengwa na wakoloni, sisi tunawaonesha tunazojenga wenyewe, wakenya hamkupaswa kujitawala 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2760537View attachment 2760539View attachment 2760541View attachment 2760543
Sasa hii ni mpya na imejengwa na wakoloni? 😆😆😆😆😆

 
Bro Dodoma ni yamotoo sio ya mchezo mchezo, kule panajengwa majengo ya kisasa tu, hakuna maneno mengi.

Huku ni Njedengwa na sio Iyumbu kwenye zile estate zinazowaumiza, nyie hamjengi mpya bali mbaonesha zile zile zilizojengwa na wakoloni, sisi tunawaonesha tunazojenga wenyewe, wakenya hamkupaswa kujitawala 🤣🤣🤣🤣🤣
View attachment 2760537View attachment 2760539View attachment 2760541View attachment 2760543
this houses look like Maasai manyatta homesteads
 
Back
Top Bottom